Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume umri wa miaka 37 - 45 awe mfanyakazi au biashara mcha mungu mkristo mweusi mrefu kiasi miaka yangu 37 mjasilia Mali ukitaka kuniona nifuate Facebook search for faithcolly utsniona mengi tutaongea tukikubaliana nataka rafiki anayejitambua kwa umri huo name imani atakuwa Ametulia kifkra .if u want to be honest be true!

Kweli umetiririkaa....Hamna hata nucta..
 
Bado miezi 8 nikidhi kigezo cha umri! Duh wakubwa wanafaidi...nimekuchungulia facebook
 
Xaxa huko fb utanijuaje ndie mie baba watoto mtarajiwa..............?au mpaka nikuambie kupitia hapa jukwaaani.:mwaaah::mwaaah:
 
Sasa kwa sisi tusio na kazi je?

Hatufai kuwa rafikizo?......lol!
 
Uxiusemee moyo wangu kuwa na marafiki wengi we kunakupa shida mbona unakiherehere name maisha ya wenzako niwe desperate au nisiwe unawashwa na mini mbona we na yako umeyakalia
matusi ya nini...? that shows how SUPER DESPERATE you are.
 
Natafuta rafiki wa kiume umri wa miaka 37 - 45 awe mfanyakazi au biashara mcha mungu mkristo mweusi mrefu kiasi miaka yangu 37 mjasilia Mali ukitaka kuniona nifuate Facebook search for faithcolly utsniona mengi tutaongea tukikubaliana nataka rafiki anayejitambua kwa umri huo name imani atakuwa Ametulia kifkra .if u want to be honest be true!

Naona wewe unataka tu kuliwa mbunye yako bure, kweli kutafuta rafiki mwanaume mwenye kuanzia miaka 37 na kuendelea, Tanzania hii utapata wapi mwanaume wa hiyo miaka akiwa single na msafi, ukiona mwanaume amaefikisha miaka 33 bado yupoyupo hata mchumba wala mtoto hana ujue kuna walakini labda ubahatike kumpata mwanaume aliyetoka kufiwa na mkewe au aliyetoka kuachana na mkewe. Au ukubali kuwa rafiki na mume wa mtu
 
Kusoma umesoma najibu unalo kaka
Kweli dada kabla mtu hajawa mke/mume inabidi muwe marafiki kwanza, kisha uchumba na hatimae ndoa. Mkishibana zaidi na kila mmoja kuona mwenzake anamfaa kuwa nae siku zote ndio mnaingia step ya UCHUMBA, ikikomaa na kupevuka mnakuwa wa MAISHA yaani ndoa.
 
Tatizo unanisemea kwani umetembea Tanzania nzima na kuonA hakuna mwenye age hi yo anayehitaji rafiki? Sometime ukiona halikihusu liache lipite au pita tu nenda zako mbunye yangu au yako ! Tatizo Lila atafutaye rafiki so lazima aliwe hi yo mbunye
 
Haikuhusu sina matusi ndo ukweli huo niwe nao laki au miliion ni wangu
unataka mcha mungu,na wewe inabidi uwe mcha mungu,,,,,,,ila kwa majibu uliyonijibu hata kama ningekuwa wrong hukupaswa kunijibu hivyo.i doubt kwa majibu yako kama wewe ni mcha mungu.........
 
Kweli dada kabla mtu hajawa mke/mume inabidi muwe marafiki kwanza, kisha uchumba na hatimae ndoa. Mkishibana zaidi na kila mmoja kuona mwenzake anamfaa kuwa nae siku zote ndio mnaingia step ya UCHUMBA, ikikomaa na kupevuka mnakuwa wa MAISHA yaani ndoa.
Nadhani umenielewa thanx
 
unataka mcha mungu,na wewe inabidi uwe mcha mungu,,,,,,,ila kwa majibu uliyonijibu hata kama ningekuwa wrong hukupaswa kunijibu hivyo.i doubt kwa majibu yako kama wewe ni mcha mungu.........
Ndio tatizo la kujaji kitabu kwa cover lake sina ugomvi nawe na huwezi kujaji imani ya mtu kwa Kuwa wewe so mungu ni binadamu ulie na mapungufu yawezekana kuliko mm!
 
Ndio tatizo la kujaji kitabu kwa cover lake sina ugomvi nawe na huwezi kujaji imani ya mtu kwa Kuwa wewe so mungu ni binadamu ulie na mapungufu yawezekana kuliko mm!
haya basi badilisha status yako huko fb,maana huku unatafuta rafiki wa kiume ambaye baadae aje kuwa mpenzi lakini status bado inasoma in a relationship...
 
haya basi badilisha status yako huko fb,maana huku unatafuta rafiki wa kiume ambaye baadae aje kuwa mpenzi lakini status bado inasoma in a relationship...

Haikuhusu relation ship yangu huijui na nani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom