Hivi Lulu wakati anakuwa na mahusiano na Kanumba si alikua ana umri chini ya miaka kumi na nane, sasa kwanini hukumu imekuja kufanyika wakati tayari ameshakuwa na umri wa utu uzima kwanini isifanyike kipindi kilekile na hukumu itolewe kulingana na umri wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.