mwanaume huwa hahongi bali anatoa.matumizi kwa yule anayempenda, na yule anayeonekana kuhonga huwa anauziwa(anafanya biashara) mwanamke.
sio tu wanaume ndo wanahonga hata wanawake wapo kibao wanao honga
mwanaume huwa hahongi bali anatoa.matumizi kwa yule anayempenda, na yule anayeonekana kuhonga huwa anauziwa(anafanya biashara) mwanamke.
sio tu wanaume ndo wanahonga hata wanawake wapo kibao wanao honga
kaa na wanafamilia mliweke sawa tatizo hilo kumbuka ushazaa naye watoto tena mapacha na utakapo anzisha familia nyingne fikilia na watoto wako wataishi vip bila uwepo wa mama/baba kuwa karibu nao?.
usikurupuke kuanzisha mahusiano mengne wakat bado unatatizo unaweza ukakutwa na tatizo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.