Hamna kitu kinachoboa katika mapenzi kama hiki

Hamna kitu kinachoboa katika mapenzi kama hiki

Tatizo hujafanya kwa utashi ndio maana unataka a pay back as you did to her! Bwt mbona tushabadilika siku hizi utakuwa una hang na wanafunzi wa o level na advance ndio maana! Mie my man siku nyingine hatulali hata nyumbani tunaenda kulala hotelini kabisaaaaaaa! ( gharama juu yangu) mwanzo alikuwa hajazoea alikuwa anahisi namtengenezea mazingira ya kumpiga mzinga wa maana kumbe mwenzie wala!

Hahaha umenifurahisha sana,ndio maisha yanavyotakiwa kuwa.kwa nini utake kupokea na kufanyiwa tu wewe.as far as Nina uwezo nafanya kwa moyo,

Otherwise,if i note from the beggining kuna wale wanapenda kutake advantage,kwa kweli atanisamehe huwa siwezi kumfanyia hivyo.
 
pole yako kwa kuumia ila kubadilika ni tatizo tutabadilika leo tu kwa kuigiza ila next day mwendo uleule
 
Yaani utakuta unampenda mdada na unamfanyia kila kitu ikiwemo kumtoa out, kumpelekea vijazawadi, hela za matumizi n.k lakini yeye hana hata mpango huo.

Yaani hata kukupa kizawadi cha pipi hamna.

Yeye ameganda tu anasubiri umfanyie kila kitu,kisa eti we ndo mwanaume.

Badilikeni wadada sio mpate raha nyie tu siku moja moja mnatutoa out na sie kwa kutumia hela zenu, mnatuletea vizawadi vya uongo na kweli na sisi turidhike kuwa tunapendwa na tunajaliwa.

Sio msubiri kufanyiwa mambo mazuri wakati nyie kuyafanya hamtaki.

Alafu bado wanalilia kuolewa... kama zawadi ya buku tu unashindwa kutafuta humo kwenye ndoa si utaua watoto njaa!!!
Hapo piga usepe tu huyo sio mke, vitu vingine haviitaji degree kuvifanya
 
Na hakuna kitu kinaboa kama mwanaume mlalamishi.........si usubiri.......je kama unataka kufanyiwa surprise..........

kula like mae.. yani wananiboa hao. mi siwapendi wanaume wa hivi
 
Kijana unataka kuhongwa? Tunahangaika kutafuta Pesa kwa ajili ya wanawake... Maana mwanamke ndo mama wa nyumba. Acha kulalamika
 
Unapomfanyia mtu jambo jema usitarajie malipo otherwise unabatilisha wema wako
 
it depend na mtu wako wengine tunasimamia shoo na tunapenda kutoa vizawadi ili tupokee mara kumi yake MIZAWADI.

bora kutoa kuliko kupenda kupokea
 
"nature" hiyo vumulia tu tangu enzi wanawake na watu wa kuletewa....
wanaumeeeeeee
 
Back
Top Bottom