Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Hahaha umekua babu Leo haya bwana
mmmmmmmh
Hahaha umekua babu Leo haya bwana
mmmmmmmh
Hahahaha.... kaka wa mjomba wake indeed...
Hahahaaaa..... amebakwa indeed....
Akili za mbayuwayu changaya na za kuambiwa utapata zako...
Ndani ya wiki moja... kimya... ndani ya wiki moja...mbako.... Ndani ya wiki moja... mimba.... Ndani ya wiki moja.... Taarifa.
Khaaa....
Hahahaha.... kaka wa mjomba wake indeed...
Hahahaaaa..... amebakwa indeed....
Akili za mbayuwayu changaya na za kuambiwa utapata zako...
Ndani ya wiki moja... kimya... ndani ya wiki moja...mbako.... Ndani ya wiki moja... mimba.... Ndani ya wiki moja.... Taarifa.
Khaaa....
Hivi kwa nini unaandika "mnapendana sana" .....kupendana sana kukoje?!
Na wewe kambake dada wa shangazi yake au mpeleke polisi
Nadhani anamaanisha ndugu wa mume wa shangazi yakekaka wa mjomba wake ndo nani sasa? mbona uongo umezidi kipimo?
Nina mpenzi tupendana sana, siku moja alienda kijijni kusalimia ndugu zake na ikapita wiki sijawasiliana naye.
Baadaye alikuja kunipigia simu akaniambia yupo Hospitali, namuuliza tatizo nini akaniambia kaka wa Mjomba wake amembaka.
Sasa ana mimba nisaidieni, nifanyaje?