Recent content by excellency

  1. excellency

    Hongera: Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel 2019 "Nobel Peace Prize".

    FaizaFoxy hadi nakuonea huruma jinsi unavyoandamwa na thread yako yenye ujumbe mzuri tu tena usioegemea upande wowote zaidi ya kutoa pongezi kwa huyu kiongozi aliyeleta reforms kwa nchi yake. Pole mama
  2. excellency

    Boyfriend wangu ni mchafu sana

    Kumbe huwaga zinatoa harufu, cjawah kujua hii makitu sometimes inatoa harufu mbaya.
  3. excellency

    Sifa na utukufu kwa wanaume woote wanaotufikisha kibo

    Ntondoo!!! [emoji3][emoji3]
  4. excellency

    Mimi ni binadamu wa mwisho kufa duniani

    Ahaaaaaaaaaaaaa Pumbafffffffff
  5. excellency

    Mimi ni binadamu wa mwisho kufa duniani

    Kwa huu mwandiko tu napata wasiwasi, ila mda ukifika dakika wala sekunde haotozidishwa kiumbe yoyote yule. Ila tuachane na hayo umenena yale ambayo unayafikiria ila nikupe challenge moja emb think what peculiar and difference you're from watu wengine then come n' tell us. Unaweza ukawa na...
  6. excellency

    Mume wangu kaniruhusu nichepuke

    Yatakayojiri huko piyemu mje kutuambia hapa pia, naonea huruma washeli za mtu.
  7. excellency

    Dr. Christopher Cyrilo: Dikteta hana rafiki, anachotaka ni wafuasi wa kumtii kwa kila anachowaza na kunena

    Mwita mzee wa kunywa bia barabara hazikufikishi popote??
  8. excellency

    Dr. Christopher Cyrilo: Dikteta hana rafiki, anachotaka ni wafuasi wa kumtii kwa kila anachowaza na kunena

    Kwa maana hyo na ww unajua na unakiri kuwa jiwe ni dictator??
  9. excellency

    Ni ipi nafasi ya Usalama wa Taifa ktk ubadhirifu kwenye Halmashauri hadi imefikia Rais na Waziri Mkuu ndio wagundue?

    Kwa mantiki hyo unamaanisha viongozi hao wakuu wanachukua maamuzi kwa taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi wa kina?? Yaani taarifa tu za hapo kwa papo kutoka kwa wananchi kiongozi azitolee maamuzi magumu???
  10. excellency

    Taja Umri wako sahihi

    @Mshana jr emb rudia haya maneno Kwa kingereza!
  11. excellency

    Swali langu kwenu waendesha private car kwenda Mikoani

    Google map, bando lako tu na network access
  12. excellency

    Kuna baadhi ya wanaume tuna roho za kishetani, leo mpaka nimetoa machozi kwa huyu dada

    Hii story inaumiza roho sana, Wanaume sometime bhna.!!!! Ila bibi asimame kweli kwel hyo dada apate haki zake na ww simama kama mwanaume mwenye busara kum-push na kumpa bibi some advice kulifanikisha hilo suala . Huo unyama haufai. Hata kama aliamua kuona ni juu yake Ila hakupaswa kumfanyia...
Back
Top Bottom