Mimi ni binadamu wa mwisho kufa duniani

Mimi ni binadamu wa mwisho kufa duniani

pore kwa kushituka
Kwa huu mwandiko tu napata wasiwasi, ila
mda ukifika dakika wala sekunde haotozidishwa kiumbe yoyote yule.

Ila tuachane na hayo umenena yale ambayo unayafikiria ila nikupe challenge moja emb think what peculiar and difference you're from watu wengine then come n' tell us.

Unaweza ukawa na kitu ambacho its so difference and helpful kwa watu kwa hyo unatakiwa ukae mpaka mwsho ili uwasaidie wengi!!!

Cc. Hornet
 
Ni kweli kabisa , hata Mimi nakuunga mkono maana na Mimi nitakuwa wa mwisho kufa...


Yaani baada ya Mimi kufa , hawatakufa wwngine tena......niulize kwanini ntakujibu
 
666 wew sio binadam ni joka mpk mwisho kule motoni hilo ujakosea!!!!!
 
ungekua umeweka huu uzi kwenye jamii intelejensi ningesema una pointi yakinifu na kufunika yote madhanio ya watu ila ngoja nkupe heko kwa fikra zako.mana magriti thinka ndyo wanatokea kama wew



KUFIKIRIA FIUCHA ZAIDI
 
Screenshot_20191012-233756~2.jpeg
 
Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .


Yangu ni hayo tu .
Ukifanikiwa kufa kwa sbb huna siku nyingi za kiishi Kamuulize Rafiki yako Maiko Jackson ,yeye alisema lazima aishi miaka 150, akaishia 50,tena akiwa na Madokta wa kila aina kilinda Afya take

Kwa kufuru hiyo hufikishi mwaka
 
Wengi tumekuona akili zako azipo sawa tafadhali usipuuze nenda kapime.lisemwalo lipo au laja.
 
ungekua umeweka huu uzi kwenye jamii intelejensi ningesema una pointi yakinifu na kufunika yote madhanio ya watu ila ngoja nkupe heko kwa fikra zako.mana magriti thinka ndyo wanatokea kama wew



KUFIKIRIA FIUCHA ZAIDI

Ana akili sana
 
Back
Top Bottom