Amesema serikali iliyopo iondoke ukawa waingie,atakaye mlaani lowassa imrudie,akasema enzi za ishenga kuwa bora lowasa alianzia kanisano kwa gwajima hajaenda kwa mganga wa kienyeji,taifa chini ya lowass litaongozwa na MUNGU
Mi niliona insta wolper alirepost kutoka kwa mh lowasa kuwa anayashukuru hayo mashirika ya kidini 1200,nikajiuliza hayana connection na tb Joshua kweli?
Mkuu mimi nimefanya kazi etc kuna wahindi wanakujaga hawajui kiswahili wala kingereza hata hiyo gujilach hawajui wanajifunza kiswahili mishahara wanawekewa kwenye acc za india ndiko wanakokatwa paye as you earn,hapa wanaishi godawn na nyumba za mitaani,wanapewa posho na shopping wanafanya kwenye...
Mkuu umenena,mi toka mwaka jana mwezi wa 12 mpaka leo cjaelewa muelekeo wa kesi walifungua mafaili mafaili mawili kesi moja,mwajiri anahudhuria kwa mahakimu wote wa wili walalamikaji tunafahamu moja,mwisho wa cku eti kesi imefutwa hatujahudhuria,wakati tulishafika hatua ya uamuzi aliyefuta kesi...
Haya mambo kwa kizazi hiki yanawezekana,mwaka jana mtu aliniita guest,kufika tu kwa room mhudumu anauliza akalete bia ngapi,kataja kumi namuuliza umeanza lini kulewa hivi eti rafiki yangu fulani yupo nje ananisubiri nimalize gemu tuondoke,nilivaa nikatoka nduki maana nilijua mtungoo huoooooo
Mkuu hata mh ane kilango,bunge la mwisho alipokuwa naibu waziri wa elimu alisema kuwa wanafanya mchakato wa ada elekezi,na kuwarudisha watoto madasa waliofeli na akasema hata waheshimiwa mliopp humu ndani wenye mashule mjiandae
Halafu huko ni kingereza na ushoga na uhuni ndo kikubwa,lkn mwisho...
Hoja ya kusema lowasa kukatwa ndo kumemfanya magufuli awe rais badala ya membe c kweli,kwn aliyemwambia magufuli akachukue form ni jk kwani aliumizwa sana na kitendo cha wanamtandao kuharibu mchakato wa katiba,na ndo alitegemea baada ya kufungwa mikono muda mrefu sana kushindwa kuwatumikia...
Ina maana mkuu hizi pesa zingefanyia sherehe ungeziulizia,au unaulizia sababu zimetajwa kiwango na kupelekwa kwenye barabara?kama hakukuwa na hela hazina,hizo zimetoka wapi,kwani rais angesema zifanyiwe sherehe hata kama zilikuwa za barabara nani angekataa,kuwa mzalendo,hadi nchi za nje habari...
Acheni kumdhalilisha rais,juzi papa huko kenya cjui alikuwa anaongea lugha gani,akawa anatafsiriwa si ndo angetakiwa ajue kingereza sababu ni kiongozi wa kidunia wa wakatoliki,kiswahili ni lugha ya pili ya afrika,ikiongozwa na kiarabu acha akaongee hivyo hivyo
Mkuu kulipa kodi ni wajibu na ni moja kati ya sheria za kuendesha biashara kwa mpiga kelele kama mbowe alitakiwa alipe kodi kutimiza sheria haijalishi inatumikaje,ili mradi atimize wajibu wake,then yeye kama mbunge ahoji sasa matumizi ya kodi lkn baada ya kulipa siyo kuleta visingizio vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.