bravetai
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 305
- 255
Binadamu hawana jema.....
Mhe rais endelea hivyo hivyo kuchapa kaz.bila kuendekeza safari watu kibao wanakuelewa na kuuheshimu msimamo na utendaji wako. Hao wachache waliokuwa ama wanafaika wa hizo safari ndiyo wanaoponda kutokusafiri kwako ni wanufaika wa hiyo $ misafara. Mirija yao umeziba hawakuzoea kutumia mishahara yao. Safari zisizo na tija ziliisha kuanzia tarehe 4-10-2015 kurudi nyuma.
Hapa kazi tu.
Mhe rais endelea hivyo hivyo kuchapa kaz.bila kuendekeza safari watu kibao wanakuelewa na kuuheshimu msimamo na utendaji wako. Hao wachache waliokuwa ama wanafaika wa hizo safari ndiyo wanaoponda kutokusafiri kwako ni wanufaika wa hiyo $ misafara. Mirija yao umeziba hawakuzoea kutumia mishahara yao. Safari zisizo na tija ziliisha kuanzia tarehe 4-10-2015 kurudi nyuma.
Hapa kazi tu.