Aiseeee!!hizi dini ingekua ndo unafika mbinguni ss tungekua wa kwanza besides mungu ndo anajua kipi kinaendelea hapa.ulimwenguni so mi naona mmeshiba nyie!!
Aiseee mlegezo unapigiwa promo sana nowdayz coz hata suruali za jeans zinazotengenezwa siku hizi zimekaa kimlegezo b4 hujavaa sasa hizo mambo ni fashion ya kumdhalilisha mwanamme anaevaa fashion hiyo kama ambavyo demu akivaa half naked!!!sio sawa na haipendezi ktk jamii
Viongozi wa Tanzania ni wachache sana wenye hekima na kipawa cha uongozi watu wote wanao support upumbavu wa Mbowe ndo hao wakipewa uongozi wanafanya upuuzi kama wa kaka yao!!!
Hapo ndugu yangu si bure hebu waone madaktari bingwa wa magonjwa ya kuambukiza kisha wakupime uwe na uhakika umepimwa lakin hii ya kununua dawa maduka ya vichochoroni wanakua wanauza kwa maelezo sio vipimo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.