hivi ni kweli u.t.i tu?

Lady.A

JF-Expert Member
Dec 13, 2013
392
191
maumivu makali jamani sehemu za siri, hasa wakati wa kukojoa, na vimkojo vinatoka kiduchu na vya mara kwa mara, nilienda hosptl nikapewa flagyl na doxcycilin, ni siku ya nne sasa natumia dozi, cha ajabu maumiv yanazidi kama vile kuna vidonda. je, hii ni u.t.i tu au kuna mengine? msaada wapendwa. kama kuna dawa nawezatumia kuniondolea maumivu. samahan nimesahau mpaka salam, ila natumai wote mu wazima.
 
Kwa dalili unazozisema ni wazi una maambukizi katika njia ya mkojo yani kitaalamu u.t.i sasa inawezekana ulikua nayo muda mrefu,maliza dozi hlf urudi tena kwa daktari
 
Hapo ndugu yangu si bure hebu waone madaktari bingwa wa magonjwa ya kuambukiza kisha wakupime uwe na uhakika umepimwa lakin hii ya kununua dawa maduka ya vichochoroni wanakua wanauza kwa maelezo sio vipimo
 
Hapo ndugu yangu si bure hebu waone madaktari bingwa wa magonjwa ya kuambukiza kisha wakupime uwe na uhakika umepimwa lakin hii ya kununua dawa maduka ya vichochoroni wanakua wanauza kwa maelezo sio vipimo

hizo dawa nimepewa hospital mkuu, sina kawaida ya kunua dawa vichochoron na walinipima.
 
Kwa dalili unazozisema ni wazi una maambukizi katika njia ya mkojo yani kitaalamu u.t.i sasa inawezekana ulikua nayo muda mrefu,maliza dozi hlf urudi tena kwa daktari

asante mkuu, ngoja nivumilie.
 
hilo tatizo alikuwa nalo mtoto wa jirani yangu hospt walisema ni u.t.i. akandikiwa dozi ya sindano but Mpaka dozi inaisha hakuna nafuu tukampeleka amana m/nyamala kote wakadai hana ugonjwa. ugonjwa ukazidi na kila baada ya sekunde 30 anakojoa tena kwa kulia sana n'a mkojo ni wa damu. suluhisho walifanya maombi ikaisha.
 
hilo tatizo alikuwa nalo mtoto wa jirani yangu hospt walisema ni u.t.i. akandikiwa dozi ya sindano but Mpaka dozi inaisha hakuna nafuu tukampeleka amana m/nyamala kote wakadai hana ugonjwa. ugonjwa ukazidi na kila baada ya sekunde 30 anakojoa tena kwa kulia sana n'a mkojo ni wa damu. suluhisho walifanya maombi ikaisha.

asante kwa ushuhuda na ushauri mkuu, nitafanya maombi pia.
 
mzizimkavu na wengine tafadhali, mko wapi? maumivu makali jamani.
 
Ongeza Dawa na vidonge vya Ciprofloxacillin 500mg BD(12hourly) for 7 days, pamoja na hio flagyl...kama kweli ni UTI utapona tu.
 
Mkuu kapime vizuri huo mkojo pima na damu fanya culture ya mkojo utakuta una gonjwa la zinaa unakomaa na U.T.I fanya hivi kabla ujachelewa maana madaktari wa siku hz ni wavivu kumchunguza mgonjwa...
 
maumivu makali jamani sehemu za siri, hasa wakati wa kukojoa, na vimkojo vinatoka kiduchu na vya mara kwa mara, nilienda hosptl nikapewa flagyl na doxcycilin, ni siku ya nne sasa natumia dozi, cha ajabu maumiv yanazidi kama vile kuna vidonda. je, hii ni u.t.i tu au kuna mengine? msaada wapendwa. kama kuna dawa nawezatumia kuniondolea maumivu. samahan nimesahau mpaka salam, ila natumai wote mu wazima.

kama we ni jinsia ya ke mara nyingi Gonorhea ni asymptomatic
u.t.i lazima utoe mkojo mchafu
sasa hatuwezi jua bila laboratory Test
lkn soma hapa meanwhile


DX:
symptoms za Gonorhea ni urethritis/inflammation ya urethra ndo maana una pata maumivu wakati wa kukojoa
pia huo mkojo utakuwa na usaa/pus

RX:
nenda hospital kapime kudhibitisha
ikibainika una Gonorhea basi tumia ciprofloxaxin
hakikisha haupewi penicillin maana Neiseria Gonorhea yuko resistant
 
maumivu makali jamani sehemu za siri, hasa wakati wa kukojoa, na vimkojo vinatoka kiduchu na vya mara kwa mara, nilienda hosptl nikapewa flagyl na doxcycilin, ni siku ya nne sasa natumia dozi, cha ajabu maumiv yanazidi kama vile kuna vidonda. je, hii ni u.t.i tu au kuna mengine? msaada wapendwa. kama kuna dawa nawezatumia kuniondolea maumivu. samahan nimesahau mpaka salam, ila natumai wote mu wazima.

je mwili wako unatoa harufu wakati ea joto?
 
Mkuu kapime vizuri huo mkojo pima na damu fanya culture ya mkojo utakuta una gonjwa la zinaa unakomaa na U.T.I fanya hivi kabla ujachelewa maana madaktari wa siku hz ni wavivu kumchunguza mgonjwa...

Jamani stany mzalendo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kafanyiwe uchunguzi wa kina inawezekana kuna tatizo zaidi, lakini UTI nayo ni nomaaa ikiendelea kwa muda mrefu madhara yake ni makubwa sana unaweza hata kurudisha namba. Ipe kipaumbele katika kupambana nayo na kama una MUPENZI naye pia akaangaliwe na kupewa matibabu kama inabidi vinginevyo utakuwa unafanya kazi ya kutwanga maji. Kila la heri katika kutafuta matibabu.
 
Back
Top Bottom