Hyu mama na sura yake nzr sasa anaiharibu kwa kusema uongo kila siku, bora tu mama ukae kimya ss tumeamua kujiajiri na viwonder vya maandazi vyeti vyeti tumeeka uvunguni,
Kwa hyooooo kaa kimya tena shutup kaajiri watoto wako,
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Humanity is zerooooo kabsaaaa nashangaa sn watu wanavyomshambulia utafikiri labda kaua ,kwani magufuli karopoka Mara ngapi tena maneno ya kukashifu watu na tena ambayo huwezi kuyaongea kwa watu ambao wako kwa wakati mgumu,Leo hii mtu anajaribu kujitetea kwa namna anavyoona mnasema amemkashifu...
Adam na Eva wasingekula tunda haya yotee sjui naangalia tako,sura kama kiazi mbwabwata ,hipsi, yasingetokea,tungebaki hvyohvyo mbumbu,...make kila siku kukupambazuka vigezo vya kuoa au kuolewa vinaongezeka,hii inatupelekea wanawake wengi kujibadili maumbile yetu ukituona sasa hvi utafikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.