Recent content by esterkinta

  1. esterkinta

    Kairuki: Ubungo itapata watumishi wapya 397

    Bongo bahati mbaya Sent using Jamii Forums mobile app
  2. esterkinta

    English learning thread

    Me tooo I'm in Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
  3. esterkinta

    Serikali imetoa kibali cha ajira ya watu 10,000 kuziba pengo la watumishi wa Vyeti feki.

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuuu huu ni kuvurugwa mbaya Sent from my TECNO-W3...
  4. esterkinta

    Serikali imetoa kibali cha ajira ya watu 10,000 kuziba pengo la watumishi wa Vyeti feki.

    Hyu mama na sura yake nzr sasa anaiharibu kwa kusema uongo kila siku, bora tu mama ukae kimya ss tumeamua kujiajiri na viwonder vya maandazi vyeti vyeti tumeeka uvunguni, Kwa hyooooo kaa kimya tena shutup kaajiri watoto wako, Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
  5. esterkinta

    Halima Mdee ahamishiwa central police baada ya masaa 72

    Humanity is zerooooo kabsaaaa nashangaa sn watu wanavyomshambulia utafikiri labda kaua ,kwani magufuli karopoka Mara ngapi tena maneno ya kukashifu watu na tena ambayo huwezi kuyaongea kwa watu ambao wako kwa wakati mgumu,Leo hii mtu anajaribu kujitetea kwa namna anavyoona mnasema amemkashifu...
  6. esterkinta

    Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

    Agano la kale,agano jipya na agano la TANU limekuja kwa kasi watu wanalitafasiri vzr
  7. esterkinta

    Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

    Daaaaaaaaaaaaaa nimecheka kweliii ukikumbambana na mistari hii asubuhi unasahau kabsa kama hali ni ngumu
  8. esterkinta

    Nisaidieni maana ya hili neno "survival of the fittest"

    Ata mm linanipaga ukakasi
  9. esterkinta

    Ni urembo, utanashati, pesa, elimu au akili kichwani unapochagua mwenza wako..???

    Adam na Eva wasingekula tunda haya yotee sjui naangalia tako,sura kama kiazi mbwabwata ,hipsi, yasingetokea,tungebaki hvyohvyo mbumbu,...make kila siku kukupambazuka vigezo vya kuoa au kuolewa vinaongezeka,hii inatupelekea wanawake wengi kujibadili maumbile yetu ukituona sasa hvi utafikiri...
  10. esterkinta

    Uliza chochote usichokijua na anayekijua atakujibu

    Mhhhhhhhh[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
  11. esterkinta

    Natafuta mfanyakazi wa kike

    Mi nilizania upo kibiti ulivyoandika kwa msisitizo,,,,Uwiiiiiiiiiiiiiii Mwaka huu ambao hatuna ajira tutakomaaa mbona,
Back
Top Bottom