Bahati gani huo ni mzigo tena wa mavi nakushauri tena bure usipuuze dalili zozote za mapema hiyo ndo tabia yake mroho yeyote ni mchoyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pilipili ni zao ambalo soko lake halitabiriki mwaka juzi ilipanda sana hadi 40000 kwa ndoo kubwa mwaka jana hadi sasa bado ndoo ni chini ya 10000 nimelima imenitesa sana kuuza walao mboga hasa mchicha na chinese zinalipa na zina soko
Hayo yapo sana hata mimi yamenikuta mtu unayemthania anaweza kukusaidia kutokana na uelewa wake unakuta ndiye anayekudhalilisha boss anakuita kwa kukuambia fanya haraka wakati anajua fika huwezi kufanya hivyo ni udhalilishaji
Mimi ni mkulima wa mboga naisi wilaya ya Temeke Dar es salaam ninalima mboga mboga kwa wingi hasa mchicha katika mazingira mazuri masafi na kumwagilia maji masafi ya kisima pia situmii mbolea za viwandani hata kidogo. Anayehitaji tufanye biashara kama vile oda za hoteli shule na kadhalika uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.