Recent content by Esss

  1. E

    Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

    Mwanaume siri jamani, ukiona hauna siri basi unakasoro, ladies mie ukinipa sisemi Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
  2. E

    Kutoka Checkpoint, Pugu: Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Ilala 2015 kupitia CHADEMA, Muslim Hassanali ajiunga na CCM

    Mashinji ndio nani eti? naskia ndio deal kwa sasa Chadema waboreshe katibu mwenezi na katibu mkuu, sidhani kama wanafanya kazi zao.
  3. E

    Mwanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na Mwanaye Johnson Nguza (Papii Kocha), watoka jela kwa msamaha wa Rais Magufuli

    DR. SHIKA KWAHERI MUDA WAKO UMEKWISHA,, SASA NI SEYA TU KILA KONA
  4. E

    Nahitaji kufahamu bei ya Mahindi mkoa wa DSM

    babati elf 45, arusha elf 56
  5. E

    Nahitaji kufahamu bei ya Mahindi mkoa wa DSM

    waulize bei ya unga hawanunuagi mahindi hawa wa Dar
  6. E

    Proof waliompiga Risasi Tundu Lissu sio watu wa system.. Big No

    jinga kabisa ......Kanyee
  7. E

    DR Congo: Vikosi vya kulinda amani vyashambuliwa, wanajeshi 14 wa Tanzania wauawa, 44 wajeruhiwa & 2 hawajulikani walipo

    Roving Journalist wazo la kupeleka watu wetu kulinda kongo nani alileta??? je ni sisi na tulifanya kutoka moyoni??? vipi kama tungeimarisha mipaka yetu tu tuachane na Congo?? je Congo wanahitaji msaada wetu?? kama lengo ni kuondoa waasi inamaana dunia yote (UN) wameshindwa?? kwanini wasiue hao...
  8. E

    DR Congo: Vikosi vya kulinda amani vyashambuliwa, wanajeshi 14 wa Tanzania wauawa, 44 wajeruhiwa & 2 hawajulikani walipo

    waliokufa ni wa UN ila kutoka Tanzania ni 12 yaani wa kwetu ndio wengi wanaofaa kusema
  9. E

    FURSA KENYA: Uhuru Kenyatta ana akili kubwa kuliko marais wenzake katika EAC

    tunahitaji kuunda Africa yetu kwa mawazo ya the late Gadafi,, hebu tusirudishane nyuma kwa woga alionao mtu mmoja.
  10. E

    FURSA KENYA: Uhuru Kenyatta ana akili kubwa kuliko marais wenzake katika EAC

    unatabia ya ubaguzi ndani yako, iache
  11. E

    Kampuni mpya ya adini, mbadala wa ACACIA

    Ndugu ukiona kiongozi msomi anakwambia hakuna jipya jaribu kufatilia kwanini anasema hayo? Serekali italipwa zile 300M Dolla, ila kwa awamu,,, trust this, kampuni mpya itayokuja ku replace Acacia ndiyo italipa na italipa kwa awamu, sasa jiulize, Je Acacia wakibadili jina wakakubaliana na...
  12. E

    Aliyemuita Rais Magufuli kilaza, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela

    hiyo pesa amepewa Magu au vepee?
  13. E

    Ushauri: Kila nikirudi nyumbani nakuta msichana wa kazi anaangalia 'porn'

    Hahaa mpe dawa tu broo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom