Nahitaji kufahamu bei ya Mahindi mkoa wa DSM

Nahitaji kufahamu bei ya Mahindi mkoa wa DSM

Nakukunda

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
875
Reaction score
1,647
Wadau habari za asubuhi

Naomba kujua bei ya mahindi kwa debe/gunia Dar es salaam kwa sasa.

Nashukuru sana
 
Mahindi mwaka huu imekuwa hasara tu...bei zilizopo sokoni kwa mwezi huu tusitegemee miujiza nikujipanga tu kwa namna nyingine!
Kaka acha kabisa. Kichwa kinauma hapa. Gunia ziko ndani na mpk sasa dalili sio nzuri!
 
Back
Top Bottom