Recent content by Essero JM

  1. Essero JM

    Tunakikumbatia kiswahili saana. Mkutano mkubwa wa kimataifa watu wanataka kujua nini kinaendelea. Tafuteni wazungumzaji wa lugha ya kiingereza

    Kakiingereza unako kazuri tu, ila ufahamu wa kidiplomasia na ziara za viongozi wakuu wa kitaifa wanapozuru mataifa mengine hilo ni msamiati mgeni kwako. Jitihada ulizotumia kujifunza Kiingereza waweza kuzitumia pia kujifunza mambo madogo kama hayo ili upunguze tashtiti kwa mambo usiyoyajua...
  2. Essero JM

    Dawa ya kupunguza maumbile ya kiume

    Kuna muungwana anaitwa Fred Mandingo yeye ana inch 9.5 ni porn star anakula mpunga, pengine fanya connection za mtoni utatoka Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
  3. Essero JM

    Hivi ndivyo TBC inavyomdanganya Rais Magufuli

    Hoja ya kuhonga wananchi imeletwa kwa mrengo mwepesi mno kwa mtu anayeishi JF kifikra. Ni wazi majawabu ya baadhi wa waungwana humu umenayafahamu kabisa. "Nani bado anaangalia hiyo takataka", "Mimi huangalia tu king'amuzi kikiisha, " utaambiwa "Nina miaka kibao siangalii hilo lichaneli, " "Mimi...
  4. Essero JM

    Mume anahitajika 36+

    Desemba hii natimiza miaka 35 na miezi 10, sio bahati na fungu langu, ila ulikuwa umepata zali kubwa kabisa usingejutia
  5. Essero JM

    Mume anahitajika 36+

    When a dude is interested, is a real n gud thing
  6. Essero JM

    Ni mwaka wa 3 sijaangalia TV! Wageni wanashangaa kutokuta TV nyumbani kwangu!

    [emoji28][emoji28][emoji28]maisha yamerahisishwa sana, simu yatosha kupata habari na kuangalia Tv utakazo duniani kote, kama una bando hata huangaiki. Ila shida ni kwa hao "pasua kichwa" utakuwa umewaweka kwenye giza la kihabari na maarifa
  7. Essero JM

    Musoma: Miongoni mwa miji mibovu Tanzania

    Ufafanuzi wako ndio muongozo halisi wa Watanzania tunatakiwa kuishi.....nazijua stendi nyingi jijini Dar....kabla ya matengenezo Stand ya Makumbusho lilikuwa zizi la ng'ombe manyunyu yakinyesha hiyo ni stand muhimu sana, sijasema ile ya Tegeta achilia mbali barabara ya hovyo kabisa ya Simu 2000...
  8. Essero JM

    Biashara matangazo

    Calisah....anadai hakuna shida kama amelamba mkwanja mkubwa yeye hizi maviatu anavaa tu. Na kama nawe wataka kutangaza bidhaa za hivo weka mkwanja mezani biashara itakwenda bila shida yoyote. Haya sasa wenye bidhaa zilizokwama masoko, fursa "Calisahn"
  9. Essero JM

    Ushauri: Walioikamata bombadia wasiikubali malipo nusu, pia wanaoidai Tanzania waisake Dreamliner kokote iliko

    JF ina tulevi twingi. Twingine tunalewa hasira na mihemko ya maisha, basi ndo tunakuja kuimwaga nyongo yote. Eniwei, hongereni kwa maombi yenu ya kujiweka mnadani kwa bei ya bure Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Essero JM

    Wahariri wapuuza agizo la viongozi wa TEF

    Nimesoma Mwananchi ya Leo, mbona habari hiyo imechapishwa? Kwa hiyo mpachika uzi unatuzuga kweupe hivi? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Essero JM

    Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    Andiko lako ni kutujuza kwamba anasafiria nyota ya hashindiki, master mind, ni bwana mkubwa ambae twatakiwa kubow down, na kumshikamoo sivyo?
  12. Essero JM

    Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    He is Munk, he is good....kuna viumbe waliinyesha dunia kwa jeuri ya fedha na mamlaka ila mwisho huja tu. Na mwisho wa kila kitu huzaliwa kwa cheche za wana mageuzi wanaonia kuwasha moto bila kuogopa umwamba na miraba ya Goliathi. Munk na jeuri yake, Tanzania na Watu aliowaweka Mwenyezi Mungu...
  13. Essero JM

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Naiwania fursa ya kujua zaidi nami niingie humu ndani Mkuu Ontario Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
  14. Essero JM

    Nimekuta uchafu na usaliti kwenye simu yake

    Kujiweka pembeni yake kwa mara nyingine, utakuwa unajifanyia unafiki mwenyewe. Na mara nyingi tunajiumiza kwa kutokuwa wakweli kwa nafsi na maisha yetu. Kwani jambazi anayekuvamia kuchukua mali na kukutoa roho ana tofauti gani na huyo demu? ☆ Mwisho wa siku uamuzi unabaki kwenu, akuombe msamaha...
  15. Essero JM

    Je, ni nini tofauti kati ya SMG na AK-47?

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hii ndo kwa jina moja tunaita "Khatari" eeh?[emoji28][emoji28]
Back
Top Bottom