Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,177
Hata mimi ni mtu wa field sana mkuu, lakini hili halikuwa kikwazo kwangu. Hivi vitu haviozi mkuu.wengine wajasiria mali wa maporini miezi mtu uko porini unasaka mahela mererani au kwenye mbaazi na ufuta huko ukirudi home umekaa sana siku 2.na tv za sikuhizi hazikamiliki mpaka uwe na king'amuzi kinyume cha hapo itakywa kama pazia tu waste of resource bora kununua music system hifi kuliko tv kama huna muda wa kuweka tako home