Hiv ile nyumba ya serikali alio muhonga Dem wake nayo CCM wameshindwa kumnyanganya? Pombe kwa Andasi za kukgegeda noma sanaa. UKAWA ndio Sisi Pamoja sana Kamanda Lowassa.
Hii timu iliangusha nguvu nying za cdm pale mbinga angalia sasa Mjengwa dc, Shaib Nnunduma DED, Oddo Mwisho mwenykt ccm wilaya na kwa sasa mjengwa nje, nnunduma ni ded pale nyasa na mwisho ni mwenyekt wa halmashaur ya nyasa pia ndie mwenykt wa ccm mkoa wa rvm kuna sehem mjengwa alibug jk akamtema
Huyo mzee ni fal.a aliwatisha waalimu mwaka 2009 pale mbinga aliposema mwalimu yyte atakaesimamia kituo cha kupigia kura na ccm ikashindwa atafukuzwa kazi. wenzake kina DED NNUNDUMA NA ODDO MWISHO WANAKULA BATA YEYE HOI CCM BWANA NOMA SANA
Hata baba yake kashalichoka hili chama la magamba sema bado hajafunguka hadharani huyu mzee. big up willy. vijana wa lumumba vp, wap Ritz, Chama all buk 7 team.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.