William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mzee Kingunge naachana na CCM siendi chama chochote,
Mh Frederick Sumaye naondoka CCM ila sijasema nitajiunga chama gani,
Mh Lowassa ni zuio la kikatiba la kuwa ili uwe mgombea sharti uwe na chama basi naye angesema anahama CCM ila hajiungi na chama chochote Maana nyingine hivyo vyama Vya Upinzani hasa CHADEMA, haviaminiwi na hawa wanaoondoka huku,
Hapa Kisiasa tafsiri ni kwamba ndani ya vyama Vya UKAWA sio mbadala kwa makada hawa na Nje ya madaraka wanayo yasaka hawana dhamira na hawaviamini vyama hivi, je ndio maana Mbowe amekataa kabisa kuwaruhusu kutumia ofisi za CHADEMA pale Kinondoni, badala yake amewatafutia Nyumba moja pale Kawe wanayoitumia sasa kama Ofisi ya UKAWA.
Hili ndilo swala kubwa la wana UKAWA kutafakari sasa hivi zikiwa zimebakia Siku 16 kabla ya Uchaguzi kufanyika.
Le Mutuz Nation
Mh Frederick Sumaye naondoka CCM ila sijasema nitajiunga chama gani,
Mh Lowassa ni zuio la kikatiba la kuwa ili uwe mgombea sharti uwe na chama basi naye angesema anahama CCM ila hajiungi na chama chochote Maana nyingine hivyo vyama Vya Upinzani hasa CHADEMA, haviaminiwi na hawa wanaoondoka huku,
Hapa Kisiasa tafsiri ni kwamba ndani ya vyama Vya UKAWA sio mbadala kwa makada hawa na Nje ya madaraka wanayo yasaka hawana dhamira na hawaviamini vyama hivi, je ndio maana Mbowe amekataa kabisa kuwaruhusu kutumia ofisi za CHADEMA pale Kinondoni, badala yake amewatafutia Nyumba moja pale Kawe wanayoitumia sasa kama Ofisi ya UKAWA.
Hili ndilo swala kubwa la wana UKAWA kutafakari sasa hivi zikiwa zimebakia Siku 16 kabla ya Uchaguzi kufanyika.
Le Mutuz Nation