CCM: Mambo si mambo

CCM: Mambo si mambo

Malalamiko yanayojirudia mara kwa mara tena kwa muda maalum...husahauliwa kwa kipindi cha muda maalum....cha kushangaza walaji makombo wenyewe wameridhika na wapo tayari kuwaneemesha wafanyabiashara na wenye wagombea tajwa hapo juu kwenye sanduku la kura.....Inashangaza.
 
Mzee Tupatupa Nakupongeza kwa kua jasiri nakusema ukweli angalia usipelekwe mwabwepande maana ndio kimbilio cha hicho chama huko
 
itakuwa ni jambo la kushangaza sana kama bado kuna wananchi wana imani na ccm tena.
 
Ndugu MUSSA ALLAN,wewe haupo Lumumba.Huko nako mna malalamiko yenu. Tulia ili chama kipate utatuzi wa mambo haya.Acha ushabiki na mihemko ndugu. Kada gani wewe usiye na uchungu na wenzako?

Mzee Tupatupa

Waambie hawa vijana jua kali kila kitu kikisemwa kuhusu ccm wanaleta mihemko hawa hata ile katiba ya ccm hawaijui kijana aliyepitia pale magogoni anakuwa na staha lakini hawa wanywa viroba wa mitaani wanawaangusha sana hawataki kuusikia ukweli .
 
Last edited by a moderator:
Na bado hilo lijumba la maccm hapo Lumumba litauzwa naona sarakasi zimeanza.
 
Wewe uko UFIPA ya Lumumba yanakuhusu nini?

Mimi nilifikiri usiku ndio njozi huwa zinamtokea mtu wakati akiwa amelala kumbe hata mchana hayo pasna shaka yatakuwa maruhan wapi madam faizafoixy aje akupunge mapepo:what:
 
Back
Top Bottom