Katika kitu Magu alikosea ni hapa kwenye kuingilia ishu za korosho. Alitaka kumtoa kangomba ila imekula kwake. Wakulima njaa, serikali nayo imekula hasara.
Hizi kama haujaanza nakushauri usijaribu. Bora betting ya mpira kuliko online casinos. Maana hizi nyingi ni 24/7 na hela ni kama shetani unaweza cheza siku nzima.
Nishawahi poteza 3M ndani ya masaa 3 tu kwa kucheza Black Jack
Watu wengi hawaelewi what is happening hapa. Maxcom pamoja na Selcom walipewa uwakala wa kuuza umeme wa LUKU tanesco. This means on every transaction ya umeme, it has to go through any of the two. Hizi kampuni za Simu na benki zote zilijiunganisha kupitia hao wawili. Sasa fikiria commission zao...
Huyu ana gambling disorder, I almost went through the same phase wakati naishi nje, nilikuwa nikilipwa hela Ijumaa nacheza michezo mbali mbali ya karata au spinning wheels. It is so addictive yaani nahisi more than drags. Ilifika kipindi I once lost 1000£ in just 2 hours. I felt like taking my...
Nimekuwa mwanachama wa JF kwa muda wa miaka 4 sasa. I come to you members today kwa ajili ya ushauri wa hili jambo ambalo ni changa lakini naona litakuja kuharibu maisha yangu huko mbeleni.
Mimi ni kijana mwenye umri kati ya miaka 25-30. Nina elimu nzuri sana na basically am having my dream...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.