Recent content by ery mendez

  1. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    ata mimi nilikua na fikra hzo mwanzoni na nilikua naona kama kuna upendeleo flan but trust me mambo hayako hvo ukilamba asali utasahau na utawaona psrs ni watu na nusu
  2. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    vijana kuweni wavumilivu wengne tumesubiri mwaka mzma database mpka tukakata tamaa but wakati wa Mungu ndo wakati sahihi
  3. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndio nilikua nimeshasahau mkuu Ata tangazo sikuliona
  4. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu natoa shukran za dhati baada ya mwaka atimae nimefanikiwa kupitia kanzi data
  5. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    No mpaka mwez unaisha Kama Kuna active nying inazd hapo
  6. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee kwel halmashaur hakuna maisha field ngo per diem ikishuka sana 800k
  7. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi nilishawahi kugoma asee nilikua private nalipwa mara 3 ya tgs
  8. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    naomba kuuliza hivi mtu akiitwa kupitia database akaacha kwenda nafasi yake inachukuliwa na mwingne aliyeko database au
  9. E

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ulifanyaga interview ya eGa
Back
Top Bottom