Recent content by error term

  1. error term

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Humu kuna watu wengi sana huna haja ya kuumiza kichwa chagua watu ambao wanasoma na kufatilia mambo hapo utafurah wewe, comments zingine unapita juu tuu. Ndege wa rangi moja uruka pamoja
  2. error term

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Jenga hoja, majadiliano lazima yawe na pande mbili kwa hoja sio ushabiki, mvutano ndio unaongeza uelewa
  3. error term

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Wachina huwa tunawaunderestimate sana ila wanakimbia kwa kasi ya ajabu sana. Lakini pia hii vita ni karata dume kwa mchina kujitangaza maana Dunia nzima sasa itataka kuona china inakuja na nin, hii itapelekea wengi wajaribu waone inaubora gan nao watajitahid kuonesha kweli wamefanya kazi hapo...
  4. error term

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Mabadiliko huja taratibu ndio maana hiyo os yao inatumika kama android ikiwa na maana hata company zingine nje ya huawei zitaweza tumia maana yake company zote za china badae zitatumia hiyo operation. Kumbuka kuwa inatumika kwenye cm, saa, speaker, tv na magar Chunguza utaona watu wengi...
  5. error term

    Irani yakamata Meli ya mafuta ya UK

    Labour shadow justice minister Richard Burgon said the UK should avoid becoming Donald Trump's "sidekicks" and warned a US-backed conflict with Iran could be worse than the Iraq War. Huyo ni Muingereza mwenyewe anatambua hilo, ila wamerekani wa Tanzania wao kila kitu wanawaza picha za commando...
  6. error term

    US dhaifu kwa Huawei: wanapanga zuio lianze baada ya miaka 2

    Tujiulize swali Kwanin tunaitaji fedha (demand for Money) Do you believe most of people are trading with US, (buying America Products) Umewah watilia GDP ya China in term of patching power parity against US. Umewahi kusoma Chines Economic Reform particularly in FDI Umewah kufatilia mataifa...
  7. error term

    US dhaifu kwa Huawei: wanapanga zuio lianze baada ya miaka 2

    China wa Capital Contral, nenda kasome undan wake na sio kama ufikiliavyo
  8. error term

    US dhaifu kwa Huawei: wanapanga zuio lianze baada ya miaka 2

    Nadhan una taarifa za kutosha juu ya thaman ya Shanghai Stock Market na ujui yuan ya China inakuwa vip katka world international reserve Fatilia hilo kisha waza upya.
  9. error term

    US dhaifu kwa Huawei: wanapanga zuio lianze baada ya miaka 2

    Ili kujua hali itakuwaje kwetu na mataifa mengine tujiulize bidhaa gan tunaitaji kutoka nje na nchi gan na kwakiasi gan. Tanzania tunaagiza mafuta kwa wingi madawa vipuli nguo (consumer goods) Mafuta hatununui marekan bali nchi za kiarabu kama saud arabia na zingine, bipuli vya mashine...
  10. error term

    USA kuishambulia Iran karibuni

    Mkuu ni kweli kabisa, Trump ni fundi wa kutishia ila kwenye moto lazima atizame mara mbili Jana aliidhinisha jeshi kuvamia na mifumo ya ulinzi ya Iran lakin leo karudi nyuma kuomba jeshi lisifanye hivyo maana middle east leo kungekuwa hatar kila kona Na US ameumia zaid na kuwapa maadui wengine...
  11. error term

    Guaido kuitisha maandamano mengine mapya Venezuela

    Nahuo ndio ukweli Fikra za mtu maskini ni ndogo sana na daima anaamin kula yake ni yakupewa na sio nguvu zake. mataifa ya ulaya yote choka tuu hawana asilimali nyingi zaid wanategemea kuibia nchi zingine wakiongozwa na us. watapiga mikwala mwisho wa siku hakuna kitu. US ameizungua Iran na anajua...
  12. error term

    China yasitisha ununuzi wa mafuta ya Iran kuhofia vikwazo toka Marekani

    Nafikir umechoka kufikir na umeamua uwe na mawazo mgando, kwanin position ya Dollar ktk world reserves inapungua kila siku
  13. error term

    Rais Trump kuitoa Marekani kutoka mkataba wa silaha za nyuklia na Urusi

    Ukiangalia hilo kwa picha ndogo (sasa) upo sahih lakin kwa kesho unaweza usiwe sahih. Fedh ya china (yuan) kwenye world reserve haikuwepo kabisa lakin leo inachukua 2-5% na Dollar inapungua baada ya kuongezeka. Fedha inapima uzalishaji (production) pamoja na technologia ambayo inasupport...
Back
Top Bottom