US dhaifu kwa Huawei: wanapanga zuio lianze baada ya miaka 2

US dhaifu kwa Huawei: wanapanga zuio lianze baada ya miaka 2

Mwenzi mmoja umepita baada ya trump kuweka zuio la kukurupuka kwa huawei.

Sasa mambo yameanza kuwa sio mambo baada ya ofisi ya white house inayohusiana na mipango ya bajeti kuomba muda wa zuio uanze kufanya kazi baada ya miaka miwili.

Ewe mmarekani mweusi unaishi tanzania OMB wameomba iwe hivyo kwa sababu zifuatazo.

Kuna makampuni ya mawasiliano yanayotumia vifaa vya huawei na yanatoa huduma vijijini.

Zuio litaathiri baadhi ya contractors na sehemu kubwa.

Kuona hilo mr Russel (mkuu wa ofisi) akatumbua Donald Trump kakurupuka kwa kuchukua maamuzi ambayo hakuyafanyia hesabu.

Russel ameamua kuandika barua kwa makamu wa raisi wa US kuhusu hilo ombi.

Kichekesho, Kumbe Trump ana sababu ya msingi kwenye zuio la huawei.

Yaani kuhusu spying na porojo zingine hamna kitu.

Pamoja na kuongeza kodi kwa bidhaa za china imebidi atumie Huawei ili kuilazimisha china ifanye mazungumzo na us.

US chini ya trump ni dhaifu kuliko nyakati zozote.

Kwenye link wamelezea kwa kina kuhusu hili.

DO miaka miwili china si atakuwa chimboni anatengeneza vya kwakwe
 
China na Russia zimesema zinaacha rasmi kutumia USD.
Vunja mwiko nitoboe sufuria
Watanunua korosho zetu kwa fedha gani mkuu? Kumbuka tunahitaji zaidi USD kuliko EURO au pound
 
Mwaga mboga naondoka na Ugali..
Huawei wako njiani kuzindua program zao wakisaidiana na Rusia.
 
Naipenda Marekani kwa sababu kuna ndugu zetu Waafrika wengi sana kuliko nchi yoyote duniani hata Tanzania hakuna Pure black wengi kama America .

Marekani likipigwa Bomu la Nyuklia toka Korea ndugu zetu wataangamia.

Marekani kuna waafrika wengi wanatawala na wanajihusisha kwenye siasa na Mpaka Kushika Urais.
Mungu atupe rafiki gani zaidi ya Marekani kama mtu mwenye asili ya Afrika Mashariki alipata urais wa Taifa hilo na Bibi yake akawa analindwa na FBI kule kijijini kwa Wajaluo.


China hata wakidondokewa na Jua likawaunguza wote hawatuhusu na hakuna Mtanzania aliyewahi kuoa Mchina na kuishi China.
Hakuna Waafrika wanaoishi China kama kwao na kumiliki uchumi na kujihusisha na Siasa au utawala.
Hatuna Muingiliano wowote na China zaidi ya siasa za chuki na za kikatili za CCM. Siasa za ubaguzi ,ukoloni ,utapeli,wizi, propaganda,chuki dhidi ya Demokrasia, siasa za watawala kumiliki nchi na kujitajirisha na familia zao kupitia mapato ya nchi kwa kujiwekea mishahara mikubwa peke yao kupitia umiliki wa bunge, wizi wa kura ,kudhoofisha vyama mbadala kwa kutumia fedha wanazokwapua kwenye makampuni ya umma, kuingia mikataba mufilisi kama ule wa star times kwa malengo ya kuua tv huru.

Wana CCM kama kawaida yao ni watu wanaochukia Waafrika wenzao wanapofanikiwa.
Marekani ikifanikiwa ni Black Americans wamefanikiwa mana wao ndio watalaoimiliki America muda sio mrefu na Amerika itakua ni sehemu ya Afrika kama ilivyo Madagascar.

Jeshi la China halina Mwafrika hata wa dawa. Hakuna Mwafrika Mwanajeshi kule China hata wa kuweka Target ya kulengea risasi. Unategemea ikitokea vita ya Tatu ya Dunia muafrika apone mbele ya Mchina?
Waafrika sijui nani katuloga hasa vyama vinavyotawala Afrika ndivyo vinavyotuuza karne hii tukiwa kwenye Uhuru waliouua punde tu baada ya kuupata toka kwa wazungu.

Marekani kuna mpaka Mawaziri ,majenerali Wajeshi ,CIA,FBI ,uhamiaji n.k ambao ni waafrika wenzetu mpaka watanzania wapo.
........Sasa mtu anayeitukuza China simtofaitishi na mshirikina anayesifia waganga wa kienyeji lakini ukimuuliza Mbona hapeleki mke wake au mume wake au Mtoto wake kusomea uganga wa Kienyeji anabaki kubwabwaja kama zuzu.

Siwezi kuwa mnafiki wa kuipenda China kwa sababu tu CCM imeingiza nchi kwenye janga la kuitana maadui na wasaliti bila kutafakari.
Waafrika badala ya kujenga moyo wa kuzipenda nchi zetu wenyewe tunajenga moyo wa kupenda Chama .Leo hii Afrika mpaka vyombo vya dola haviwajali wananchi vinajali Chama tawala tuu kwa sababu ya kujali vyeo na maslahi binafsi.

Tumeona Watu wanaingia kwenye chumba cha kupigia kura na kubeba masanduku ya kura mbele ya polisi na kwenda kuweka kura bandia na kurudisha bila kukamatwa kisa ni vijana wa Chama Tawala. Huo udhalimu ndio China wanaoufurahia na maswahiba zao ndio maana wanaonekana ni rafiki ili hali ni wezi wapya wanaoliibia bara letu kwa kushirikiana na watawala madikteta ili washike uchumi wa dunia kwa malengo yao.
Hata Marekani na yeye hakutakii mema vile vile.
Tena mm nataman ningekuwa nipo Taliban niongoze wataliban kuivamia America maana sio kwa maafa aliyosababisha kwa nchi nyonge kisa ulafi wake wa mafuta.
 
Naipenda Marekani kwa sababu kuna ndugu zetu Waafrika wengi sana kuliko nchi yoyote duniani hata Tanzania hakuna Pure black wengi kama America .

Marekani likipigwa Bomu la Nyuklia toka Korea ndugu zetu wataangamia.

Marekani kuna waafrika wengi wanatawala na wanajihusisha kwenye siasa na Mpaka Kushika Urais.
Mungu atupe rafiki gani zaidi ya Marekani kama mtu mwenye asili ya Afrika Mashariki alipata urais wa Taifa hilo na Bibi yake akawa analindwa na FBI kule kijijini kwa Wajaluo.


China hata wakidondokewa na Jua likawaunguza wote hawatuhusu na hakuna Mtanzania aliyewahi kuoa Mchina na kuishi China.
Hakuna Waafrika wanaoishi China kama kwao na kumiliki uchumi na kujihusisha na Siasa au utawala.
Hatuna Muingiliano wowote na China zaidi ya siasa za chuki na za kikatili za CCM. Siasa za ubaguzi ,ukoloni ,utapeli,wizi, propaganda,chuki dhidi ya Demokrasia, siasa za watawala kumiliki nchi na kujitajirisha na familia zao kupitia mapato ya nchi kwa kujiwekea mishahara mikubwa peke yao kupitia umiliki wa bunge, wizi wa kura ,kudhoofisha vyama mbadala kwa kutumia fedha wanazokwapua kwenye makampuni ya umma, kuingia mikataba mufilisi kama ule wa star times kwa malengo ya kuua tv huru.

Wana CCM kama kawaida yao ni watu wanaochukia Waafrika wenzao wanapofanikiwa.
Marekani ikifanikiwa ni Black Americans wamefanikiwa mana wao ndio watalaoimiliki America muda sio mrefu na Amerika itakua ni sehemu ya Afrika kama ilivyo Madagascar.

Jeshi la China halina Mwafrika hata wa dawa. Hakuna Mwafrika Mwanajeshi kule China hata wa kuweka Target ya kulengea risasi. Unategemea ikitokea vita ya Tatu ya Dunia muafrika apone mbele ya Mchina?
Waafrika sijui nani katuloga hasa vyama vinavyotawala Afrika ndivyo vinavyotuuza karne hii tukiwa kwenye Uhuru waliouua punde tu baada ya kuupata toka kwa wazungu.

Marekani kuna mpaka Mawaziri ,majenerali Wajeshi ,CIA,FBI ,uhamiaji n.k ambao ni waafrika wenzetu mpaka watanzania wapo.
........Sasa mtu anayeitukuza China simtofaitishi na mshirikina anayesifia waganga wa kienyeji lakini ukimuuliza Mbona hapeleki mke wake au mume wake au Mtoto wake kusomea uganga wa Kienyeji anabaki kubwabwaja kama zuzu.

Siwezi kuwa mnafiki wa kuipenda China kwa sababu tu CCM imeingiza nchi kwenye janga la kuitana maadui na wasaliti bila kutafakari.
Waafrika badala ya kujenga moyo wa kuzipenda nchi zetu wenyewe tunajenga moyo wa kupenda Chama .Leo hii Afrika mpaka vyombo vya dola haviwajali wananchi vinajali Chama tawala tuu kwa sababu ya kujali vyeo na maslahi binafsi.

Tumeona Watu wanaingia kwenye chumba cha kupigia kura na kubeba masanduku ya kura mbele ya polisi na kwenda kuweka kura bandia na kurudisha bila kukamatwa kisa ni vijana wa Chama Tawala. Huo udhalimu ndio China wanaoufurahia na maswahiba zao ndio maana wanaonekana ni rafiki ili hali ni wezi wapya wanaoliibia bara letu kwa kushirikiana na watawala madikteta ili washike uchumi wa dunia kwa malengo yao.
Toka ashike yeye dunia.Dunia haina amani leo Afghanistan kesho Iran kesho kutwa Iraq mara tena Syria mara Libya.
Bora wamuangushe
 
Naipenda Marekani kwa sababu kuna ndugu zetu Waafrika wengi sana kuliko nchi yoyote duniani hata Tanzania hakuna Pure black wengi kama America .

Marekani likipigwa Bomu la Nyuklia toka Korea ndugu zetu wataangamia.

Marekani kuna waafrika wengi wanatawala na wanajihusisha kwenye siasa na Mpaka Kushika Urais.
Mungu atupe rafiki gani zaidi ya Marekani kama mtu mwenye asili ya Afrika Mashariki alipata urais wa Taifa hilo na Bibi yake akawa analindwa na FBI kule kijijini kwa Wajaluo.


China hata wakidondokewa na Jua likawaunguza wote hawatuhusu na hakuna Mtanzania aliyewahi kuoa Mchina na kuishi China.
Hakuna Waafrika wanaoishi China kama kwao na kumiliki uchumi na kujihusisha na Siasa au utawala.
Hatuna Muingiliano wowote na China zaidi ya siasa za chuki na za kikatili za CCM. Siasa za ubaguzi ,ukoloni ,utapeli,wizi, propaganda,chuki dhidi ya Demokrasia, siasa za watawala kumiliki nchi na kujitajirisha na familia zao kupitia mapato ya nchi kwa kujiwekea mishahara mikubwa peke yao kupitia umiliki wa bunge, wizi wa kura ,kudhoofisha vyama mbadala kwa kutumia fedha wanazokwapua kwenye makampuni ya umma, kuingia mikataba mufilisi kama ule wa star times kwa malengo ya kuua tv huru.

Wana CCM kama kawaida yao ni watu wanaochukia Waafrika wenzao wanapofanikiwa.
Marekani ikifanikiwa ni Black Americans wamefanikiwa mana wao ndio watalaoimiliki America muda sio mrefu na Amerika itakua ni sehemu ya Afrika kama ilivyo Madagascar.

Jeshi la China halina Mwafrika hata wa dawa. Hakuna Mwafrika Mwanajeshi kule China hata wa kuweka Target ya kulengea risasi. Unategemea ikitokea vita ya Tatu ya Dunia muafrika apone mbele ya Mchina?
Waafrika sijui nani katuloga hasa vyama vinavyotawala Afrika ndivyo vinavyotuuza karne hii tukiwa kwenye Uhuru waliouua punde tu baada ya kuupata toka kwa wazungu.

Marekani kuna mpaka Mawaziri ,majenerali Wajeshi ,CIA,FBI ,uhamiaji n.k ambao ni waafrika wenzetu mpaka watanzania wapo.
........Sasa mtu anayeitukuza China simtofaitishi na mshirikina anayesifia waganga wa kienyeji lakini ukimuuliza Mbona hapeleki mke wake au mume wake au Mtoto wake kusomea uganga wa Kienyeji anabaki kubwabwaja kama zuzu.

Siwezi kuwa mnafiki wa kuipenda China kwa sababu tu CCM imeingiza nchi kwenye janga la kuitana maadui na wasaliti bila kutafakari.
Waafrika badala ya kujenga moyo wa kuzipenda nchi zetu wenyewe tunajenga moyo wa kupenda Chama .Leo hii Afrika mpaka vyombo vya dola haviwajali wananchi vinajali Chama tawala tuu kwa sababu ya kujali vyeo na maslahi binafsi.

Tumeona Watu wanaingia kwenye chumba cha kupigia kura na kubeba masanduku ya kura mbele ya polisi na kwenda kuweka kura bandia na kurudisha bila kukamatwa kisa ni vijana wa Chama Tawala. Huo udhalimu ndio China wanaoufurahia na maswahiba zao ndio maana wanaonekana ni rafiki ili hali ni wezi wapya wanaoliibia bara letu kwa kushirikiana na watawala madikteta ili washike uchumi wa dunia kwa malengo yao.
Kaka mawazo ya kusema America itakua km Madagascar futa.Unajidanganya.
Huko watu weusi wanauliwa America tena sana tyuu na wanabaguliwa vile vile.
Kuhusu nchi kujiendesha vibaya usimsingizie mchina hiyo ni nature ya viongozi wako toka kwa Nyerere hadi sasa.
Mchina hakupangii katiba bali unajipangia mwenyewe.
Ingekuwa America anawapenda Africa asingewakopesha hela kwa riba kubwa na walishindwa kulipa anawashurutisha kuingia mikataba nyonyezi.
KIUFUPI SIO AMERICA WALA CHINA WANAOTUFURAHIA.
WOTE WAPO KTK MASLAHI YAO.
KM UNAVYOONA AMERICA ANAPAMBANA KULINDA SUPER POWER YAKO BASI NDIVYO ALIVYOKUWA CHINA ANASHINDANA KUPATA USUPER POWER.
WOTE WANYONYAJI KWA NAMNA TOFAUTI TOFAUTI HUSUSAN MMAREKANI DUNIAN KOTE KAPACHAFUA
 
Hii ni Dunia. Toka enzi na enzi mpaka hapa ilipofikia, imekuwa haina amani ya kudumu. Leo hii mnailalamikia Marekani kuwa inavuruga amani ila baadaye vizazi vijavyo navyo vitakuja kulalamika kuwa Urusi au China ama taifa lolote litakalokuwa na nguvu zaidi kwa kipindi hicho kuwa linavuruga amani bila kujua mzizi wa tatizo. Nothing Changes!
 
Bongo kuna maajabu!!! Watu wanarushiana ngumi kisa huyu anampenda U.S.A na huyu Anampenda CHINA.

Unemployment is a son of Bitch and Poverty is her sister!!!
Umenikumbusha “Life is the bitch and death is her sister. Sleep is the cousin, what a f*ckin' family picture.
Lil wayne
 
China na Russia zimesema zinaacha rasmi kutumia USD.
Vunja mwiko nitoboe sufuria
pesa ya China na urusi itaporomoka thamani kwa huo Uamuzi.Sababu masoko ya hisa yanatumia dola zaidi Sio yen ya China au rubuli za mrusi.Itakula kwao
 
ushirika kati ya china na Russia iwe kiuchumi au kijeshi sio mzuri kwa usitawi wa marekani,kuibania china technology maana yake mchina ataunda zake,halafu zitaanza kucompete na za marekani ambazo huuzwa ghali sana
China Ni copy cat asikudanganye mtu Hana uvumbuzi wake.Copy right Sasa hivi ndizo zinambana.Lakini Hana wavumbuzi wengi.Yeye hu copy na KU paste ila chake kwa kuwa Ni photo copy ndio maana huuza Bei rahisi.
 
Unasema china hajawahi kufanya uvumbuzi ama wamaanisha nn?!
Kama uvumbuzi china kafanya vingi.
Labda huvijui.
Then China hakopi tu bali anaBoresha kile alichokiiba kutoka tech nyingine mkuu Na sio kama kila kitu cha Chinese ni bei ndogo yeye hukuuzia kitu kulingana na hela yako hatta ukitaka og vipo.
Mathalan nguo ya mchina ya 20k ni blee inapauka mapema.Ila ukichukua ya huyo huyo mchina ya 60k utachoka mpk kuivaa.
China Ni copy cat asikudanganye mtu Hana uvumbuzi wake.Copy right Sasa hivi ndizo zinambana.Lakini Hana wavumbuzi wengi.Yeye hu copy na KU paste ila chake kwa kuwa Ni photo copy ndio maana huuza Bei rahisi.
 
China na Russia zimesema zinaacha rasmi kutumia USD.
Vunja mwiko nitoboe sufuria

Iran nae aliwahi kusema hivyo lakin sasa hivi anazisaka USD kwa magendo kule Pakistan na Afaghanistan sasa ngoja tuone hawa watazisaka wapi....
 
Ili kujua hali itakuwaje kwetu na mataifa mengine tujiulize bidhaa gan tunaitaji kutoka nje na nchi gan na kwakiasi gan.

Tanzania tunaagiza mafuta kwa wingi madawa vipuli nguo (consumer goods)

Mafuta hatununui marekan bali nchi za kiarabu kama saud arabia na zingine, bipuli vya mashine tunaagiza ulaya, china japan marekan na nchi za kiarabu.

Kwa hali ilivyo sasa kama wabaya wa US wakaungana na kuacha kutumia Dollar sidhan kama kunabidhaa watakosa, isitoshe urusi pekee inaasilimali zakutosha, technology na mengine

Mafuta ya Iran, Venezuela na Russia yatatosha kupanua dhaman na uitaji wa fedha yao.

Leo hii Tanzania tunaagiza almost 60% ya commercial trucks na consumer goods kutoka China.

Kama watafanikiwa kuufanya mfumo wao wa international interbanking system kufanya kazi nje wa US SWIFT basi US atakuwa ktk hali mbaya sana na soft weapon yake ya Economic suction haitakuwa na nguvu tena, na ndio utakuwa mwanzo wa uboreshwaji wa sera za WB na IMF na kuwa fair pande zote sio kama ilivyo sasa.

Watanunua korosho zetu kwa fedha gani mkuu? Kumbuka tunahitaji zaidi USD kuliko EURO au pound
 
Nadhan una taarifa za kutosha juu ya thaman ya Shanghai Stock Market na ujui yuan ya China inakuwa vip katka world international reserve
Fatilia hilo kisha waza upya.
pesa ya China na urusi itaporomoka thamani kwa huo Uamuzi.Sababu masoko ya hisa yanatumia dola zaidi Sio yen ya China au rubuli za mrusi.Itakula kwao
 
Nadhan una taarifa za kutosha juu ya thaman ya Shanghai Stock Market na ujui yuan ya China inakuwa vip katka world international reserve
Fatilia hilo kisha waza upya.
Makampuni mengi makubwa yaliyoko shangai stock market Ni ya wamarekani.China ikichukua hiyo hatua soko Hilo nalo litabuma kwa investors ku loose confidence na China.
 
China wa Capital Contral, nenda kasome undan wake na sio kama ufikiliavyo
Makampuni mengi makubwa yaliyoko shangai stock market Ni ya wamarekani.China ikichukua hiyo hatua soko Hilo nalo litabuma kwa investors ku loose confidence na China.
 
Back
Top Bottom