Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

Collapse how ? Wachina wameweza kuishi miaka na miaka kwa ukoministi bila kutegemea material things.., wananchi wao wanaweza kuishi kimasikini kwa kubana mikanda.., wachina wana rasilimali watu wa kutosha kwahio wataendelea tu mdogo mdogo issue ni USA wananchi wengi waliozoea vya kunyonga.., when push comes to shove wataandamana na kupigana risasi mpaka basi..., that's how empires collapse..., China ni nchi yenye historia tangu enzi na enzi achana na hii marekani iliyokuja juzi...
Even if all American does not work... They still export Dollars... So they will still make money constantly... Something which no any other country in the World does that!
 
Ila hii vita sio ndogo.... sie huku ni mashabiki tu..... Mmarekani pia ana hofu....
 
Even if all American does not work... They still export Dollars... So they will still make money constantly... Something which no any other country in the World does that!
how is money created ?, wanaamua tu kwamba twende tuchapishe pesa wengine wakitaka tuwape ? Yaani biashara yetu itakuwa ni kuchapisha pesa na kuwapa watu ?
 
Uwezo wa China kupambana na US kwa muda mrefu ni mdogo. Wakienda hivi say kwa miaka mitano, China will collapse.
Sasa nani atanunua simu yenye OS ya mchina kwa mfano?
China sio tanzania mkuu, wale ni watu wenye akili zao!! FYI Marekani ndio anaenda kupoteza...jiulize 5G netwek mpaka sasa nani anakaribia kuizindua?
 
Kwanini unaponda bidhaa za china na kuziita fake product wakati huo huo unazitumia? Si ununue basi hizo original na kwa bei ghali from US! inaonekana bado mchanga sana kwenye haya mambo.

Piki piki za kufanyia biashara na matumizi ya nyumbani mnatumia za kwake.

Baadhi ya Bajaji pamoja na zile zinazobeba mizigo mnatumia za kwake.

Baiskeli mnatumia za kwake.

Magari chungu nzima mnatumia ya kwake.

Mashine za juice ya miwa

Mashine za ice cream

Mashine za kusagiaa karanga

Mashine za tofali

Mashine za mabati

Mashine plastic

Mashine za vinywaji mbali mbali n.k

Simu mnatumia za kwake.

Si ajabu hata chupi/nguo unazovaa made in china.

Muwe mnauliza kwanza, Sio kila bidhaa from China ni fake
,wenzetu wanaenda na grades, ukitaka original watakutengenezea kulingana na uwezo wako wa kifedha,,na ukitaka medium watakutengenezea, na ukitaka ya kawaida ambazo wengi wetu tunazimudu huku bongo wanatengeneza pia. Nchi kama Tanzania sio wote wenye uwezo wa kumiliki simu za mamilioni.

Ukienda kwenye magari pia, atakutengenezea kulingana na uchumi wako, ukitaka benzi original atatengeneza tena ikawa nzuri kuriko ata ya mjerumani, ukitaka ya bei nafuu atatengeneza ni wewe na hela yako tu babaaa.
Umesahau kuweka toothpick zile unazopewa ukiwa unakula kongoro au chips zege.
 
Em wambie ww pengine WATAKUFAHAM hamu mkuu, utaona jamaa humu wanampinga mchina ila wanatumia 99% vya kichina
Mabadiliko huja taratibu ndio maana hiyo os yao inatumika kama android ikiwa na maana hata company zingine nje ya huawei zitaweza tumia maana yake company zote za china badae zitatumia hiyo operation. Kumbuka kuwa inatumika kwenye cm, saa, speaker, tv na magar
Chunguza utaona watu wengi wanatumia smart tv nyingi za china ambazo wanafurahia ubora wa picha na ukubwa wa screen. aza na bar iliyo jiran nawe. China ni homa ya dunia wana production capacity ya hali ya juu sana
 
Nadhani inabidi ifike mahali binadamu tuheshimiane.
Katika hali ya kupambana kibiashara na Us ..China kaanza kumjibu Us kimya kimya.
Thaman ya Yuan imeshushwa.
Rare mineral hakuna kuuza Us.
Hakuna kununua soya beans toka Us.
Taka toka Us zimepigwa marufuku kwa nchi nyingi Asia.
China wamejipanga kupambana na Us bilashaka.

Neccessity is the mother of all the inventions. Sisi wengine tunatakiwa kujifunza hapo. Sio kulialila toka tunaamka mpaka tunakwenda kulala. Changamoto zipo, ila zinatudai majawabu
 
Wachina huwa tunawaunderestimate sana ila wanakimbia kwa kasi ya ajabu sana. Lakini pia hii vita ni karata dume kwa mchina kujitangaza maana Dunia nzima sasa itataka kuona china inakuja na nin, hii itapelekea wengi wajaribu waone inaubora gan nao watajitahid kuonesha kweli wamefanya kazi hapo ndipo soko litagawika.

Watu wengi ni wazur wa kueleza stor na maono ya CIA lakin sio wafanye wao uchunguzi japo kidogo tuu kujua dunia inaenda wap

Tuanze na Nyumban
1) Bodaboda 80% Mchina
2) Bus karibu zote Mchina
3) Trucks kila siku Mchina zinaongezeka na msweeden (Scania, volvo) zinapungua
4) TV mchina anaongoza na zinazidi ongezeka

haya hamyaoni had CIA wakiri ndio muamin.

hakuna shujaa kwenye bei (Watu wachache sana ambao kwao bei sio issue)

Muulizeni Shabibi
 
Mabadiliko huja taratibu ndio maana hiyo os yao inatumika kama android ikiwa na maana hata company zingine nje ya huawei zitaweza tumia maana yake company zote za china badae zitatumia hiyo operation. Kumbuka kuwa inatumika kwenye cm, saa, speaker, tv na magar
Chunguza utaona watu wengi wanatumia smart tv nyingi za china ambazo wanafurahia ubora wa picha na ukubwa wa screen. aza na bar iliyo jiran nawe. China ni homa ya dunia wana production capacity ya hali ya juu sana

Usiogope made in china product mkuu coz ata america wanatumia pia nw day ni cheap mzungu sio mjinga ndo mana cheap labour ameona aanze na india anaandaliwa kuwa mbadala wa mchina soon enough made in india zitajaa mchina kwa sasa awezi kumkaa mmarekani coz swala la ajira pia viwanda vingi ni nguvu za mmarekani so sikatai ndo mana nasema product ni soko ndo linakubali na sio kusikia inaweza ikaja na bugs kibao then ikaaribu soko kabs

Ubora wa pic ni devices na sio operation system ndo mana mwanzo wa product za china zilikua na android lkn ubora wa picha ulikua mbaya mimi napenda ushindani ili sisi tupate nafuu lkn sio kwa haraka ivo ngoja zitakuja tutaona ata marekan nao watatumia ila akimess around amejiua mwenyewe
 
Umezungumza vizuri kiongozi kwakweli kwa sasa mchina Afrika kaikamata na hiko ndicho kinachomuuma Mmarekani
Wachina huwa tunawaunderestimate sana ila wanakimbia kwa kasi ya ajabu sana. Lakini pia hii vita ni karata dume kwa mchina kujitangaza maana Dunia nzima sasa itataka kuona china inakuja na nin, hii itapelekea wengi wajaribu waone inaubora gan nao watajitahid kuonesha kweli wamefanya kazi hapo ndipo soko litagawika.

Watu wengi ni wazur wa kueleza stor na maono ya CIA lakin sio wafanye wao uchunguzi japo kidogo tuu kujua dunia inaenda wap

Tuanze na Nyumban
1) Bodaboda 80% Mchina
2) Bus karibu zote Mchina
3) Trucks kila siku Mchina zinaongezeka na msweeden (Scania, volvo) zinapungua
4) TV mchina anaongoza na zinazidi ongezeka

haya hamyaoni had CIA wakiri ndio muamin.

hakuna shujaa kwenye bei (Watu wachache sana ambao kwao bei sio issue)

Muulizeni Shabibi
 
Wataalam wetu mnafikiria nini ili mvumbue na kuacha mark zenu kitaifa na kimataifa? Kufa bila kuacha mark yako hasa ukiwa msomi ni bora usingesoma tu!
Binafsi sijasoma ila najipanga kuja ni bidhaa kabambe itokanayo na korosho,kaeni mkao wa kula 😋,hapa lzm niache mark yangu
Itendeeni haki elimu yenu.
Nalog off
Sawa mkuu. Hongera sana.
 
Back
Top Bottom