Akili za watu zimefinywa zikafinyika. Wanachodhani wao it's all about kutengeneza na kuuza, hizo other factors wala hawaziangalii. Nakumbuka tangu miaka ya katikati ya tisini katika report yao, CIA walisema kwa hali ilivyo kama mchina hatapigana vita yoyote ile basi itamchukua miaka nane (8) kuwa namba tatu kiuchumi Duniani. Then, miaka ya elfu mbili CIA walisema kabla ya 2016 kama hali itabaki hivi basi China atakua namba 2 kiuchumi duniani.
Hii najaribu kuonyesha jinsi watu wanavyofuatilia mambo, mbinu na mikakati ya mchina watu wanaijua, yote ipp mikononi maana wanajua exactly pale itakapo mfikisha. Hivyo hawakuwa mafala, walitengeneza nikakati ya kufaidika naye halafu baadaye waje ku m contain na kumfifisha kabisa. China hataweza kufika anakodhani anaelekea, Uingereza hakuwa fala alipomkabidhi Hong Kong ambao hadi leo hawataki kujiona kuwa wao ni sehemu ya China.
Kuna Macau, kuna Taiwan kuna Tibet. Hizi zote ni special projects dhidi ya Mchina, ni timing bombs.
Mchina amesha kuwa contained, hana tena ujanja.
Watu si wajinga wanapo invest heavily kwenye maswala ya Research and Intelligence, si wajinga hata