Recent content by ERICK MWABENA

  1. ERICK MWABENA

    Ni wapi nitapata kibarua cha kuniwezesha kupata angalau Tshs 7000 kwa siku?

    Kama unapiga ngumu omba kibarua site za ujenzi kama Mbezi stend.
  2. ERICK MWABENA

    Wauza smartphone tukutane hapa

    tecno k7 iko vyema sana, 120,000/= Check me on 0769069812
  3. ERICK MWABENA

    Nataka nibadili account kutoka personal account kuwa NMB chap chap account..!

    Inawezekana, account yako ina sh mgapi kwan? Em nipe details zake na namba ya siri nikubadilishie. Niko makao makuu hapa. 😝 Nenda bank ww ukapate taarifa sahihi.
  4. ERICK MWABENA

    natafuta kazi ya ualimu-economics

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. ERICK MWABENA

    IQ test: Ukipata ujue una akili nyingi na uwezo wa kupambanua mambo kwa utulivu na usahihi

    Mbwembwe kibao af unakosa. Jibu langu 30. 10+10+10=30 10+5+5=20 5+4+4=13 10+5×4=30
  6. ERICK MWABENA

    Wale wa betting. Hizi telegram za fixed huwa zina ukweli ivi?

    Kwa mfano hii. Eric: BARRY ElTON: ATTENTION!!! ATTENTION!!! ATTENTION TO ALL SPORT LOVERES Join this TELEGRAM Channel and see how much you wil be making Today [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] Telegram link [emoji821] [emoji821] EUROPE...
  7. ERICK MWABENA

    Jinsi ya kuomba ajira za waalimu

    Ishakua biashara tena..! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. ERICK MWABENA

    Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

    Kwa mtazamo wangu, na kwa wale wachache waliosoma na kuelewa na kukubali utafit wa Robert Kiyosaki kwny ktabu chake cha "rich dad poor dad" na "cash flow quadrant"., nakubali kua. .........only 10% of the people are operating from the I-quadrant.......... Me nadhan kwa nchi zetu za kiafrika hasa...
  9. ERICK MWABENA

    Msaada jinsi ya kuongeza "confidence"

    i disagree. kuangalia mtu usoni huongeza confidence
  10. ERICK MWABENA

    Ratiba yangu October 25, 2015

    ha ha ha.! safi sana ndugu.
  11. ERICK MWABENA

    Njombe yamnyoosha Lowassa

    hao ni wale waliokesha na kulala uwanjani kumsubiri. hiyo picha itakua ilipigwa saa 12 au saamoja usubuhi kabisa...
  12. ERICK MWABENA

    Ndugu zangu KIU-dar tuhabarishane!

    achna na wazush hao, tar ya kuripot bad haijapangwa. xo unatakiwa kutembelea web yao mara kwa mara, ambayo ni Kampala International University - Dar es Salaam College
  13. ERICK MWABENA

    wale wa KIU ( kampala international University ) majina yanatoka lini ?

    majina yako kwny web ya chuo Kampala International University - Dar es Salaam College
Back
Top Bottom