mkosafedha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,330
- 277
Juice ya ukwaju changanya na pilipili kichaa.
Mara unafika kituoni unaambiwa jina lako halipo!
Jibu lake ni=gazabu+hasira+pigwamtukitasa+Mkong'oto1.Naamka asubuhi na mapema
2. Nitakunywa juice yangu ya ukwaju kupata hasira
3.Nangalia picha za akina mama wakiwa wamelala wodini wanne wanne
4. Natazama picha ya mwangosi
5.Navuta hisia kauli ya mkapa sisi ni malofa
6. Nakunywa tena juice ya ukwaju
7. Nachukua bic zangu 2 bluu na 2 nyeusi
8:Namalizia kwa kuchukua kichinjio changu.
Nina hasiraaaaa!!!!
mbona hii ipo tayari jamvini tena imepostiwa leoleo
1.Naamka asubuhi na mapema
2. Nitakunywa juice yangu ya ukwaju kupata hasira
3.Nangalia picha za akina mama wakiwa wamelala wodini wanne wanne
4. Natazama picha ya mwangosi
5.Navuta hisia kauli ya mkapa sisi ni malofa
6. Nakunywa tena juice ya ukwaju
7. Nachukua bic zangu 2 bluu na 2 nyeusi
8:Namalizia kwa kuchukua kichinjio changu.
Nina hasiraaaaa!!!!
1.Naamka asubuhi na mapema
2. Nitakunywa juice yangu ya ukwaju kupata hasira
3.Nangalia picha za akina mama wakiwa wamelala wodini wanne wanne
4. Natazama picha ya mwangosi
5.Navuta hisia kauli ya mkapa sisi ni malofa
6. Nakunywa tena juice ya ukwaju
7. Nachukua bic zangu 2 bluu na 2 nyeusi
8:Namalizia kwa kuchukua kichinjio changu.
Nina hasiraaaaa!!!!
Nyie mitoto ya maccm kula kulala, unafikiri kila mtu anapata hiyo kula ya kula vizuri..watanzani pigeni kura kuondoa hawa vibakaMaamuzi mazito mkuu hayafanyi hivyo.
Amka asubuhi relax, kula vizuri, ingiza akili ya umuhimu wako kwa uhai wa TZ, maliza kampeni ya kuwashawishi watu waende vituoni, chukua kichinjio, kamchague JOHN POMBE MAGUFULI NA TIMU YAKE YA MBUNGE NA DIWANI. Chaguo hilo ndilo litakufanya upokee furaha ya maamuzi yako mapema saa 4:00 asubuhi 25 Oct. hiyohiyo.