Msaada jinsi ya kuongeza "confidence"

Kwy 5! Unaweza kufuatilia vizuri mfn timu unayoipenda labda simba,yanga,kauzu,au manu au juve,chelsea alafu ijua vizuri iyo team,list y wachezaji etc alafu nenda kwy kibanda umiza au bar siku wakiwa na mechi kaa mbele au katikati anza kubishana na watu kwa fact then ukitoka hapo utaona levele yako ya confidence imepanda!fanya mara kwa mara utajikuta inakupa kujiamini,unaweza kuongelea hata siasa na kwy kundi kubwa la watu itakusaidia! Ukifika chuo gombea uongozi wowote pia etc itakusaidia!
Namaanisha kujivunia kipaji chako, mfano wewe muimbaji, mwanasoka, mchoraji chochote ulichonacho cha pekee ukiweza jitambua jivunie kuwa nacho utajikuta unajiamini kwa kipaji chako
 
Namaanisha kujivunia kipaji chako, mfano wewe muimbaji, mwanasoka, mchoraji chochote ulichonacho cha pekee ukiweza jitambua jivunie kuwa nacho utajikuta unajiamini kwa kipaji chako
Not necessary kipaji mkuu manake sio wote wanautambuzi wa vipaji vyao! So anaweza Kuanzia km nilivyoelezea!
 
Kitu ambacho ni adui wa "confidence" ni kuwa na " fear and negative altitude " juu ya jambo Fulani. Pia kuogopa kukosea na kukosolewa nako kunachangia pakubwa kupunguza au kuondoa kabisa "confidence" ya mtu.

"To enhance or increase confidence just change your mind set from thinking negativity and turn it into positivity".

Kwa mfano: mpaka sasa umeonesha mwanzo mzuri na unaweza ukaendea kufanya vizuri. Wapo watu wengi wamekuwa na hofu ya kuposti and Mada hapa jamii forum hii yote ni kukosa "confidence"...hofu ya kuogopa "critics and challenge" mtu anaishia kusoma kile ambacho wengine wana post au ku-comment.

Kuto Mada yako hapa ni hatua nzuri kujaongoa challenge wala critics ambazo ni confidence suppressors kubwa
 
acha kujilinganisha na ongea chochote mbele ya watu,jifanye kama mtu anayetaka kujifunza englishi mbele ya waswahili
bt kwa vile unakwenda chuo kikuu utaimarika maana kuna vyuo mwanafunzi unatakiwa kufanya presentation mbele ya wenzako
 
Tiba yake inaitwa face your fear!yaani pale ukihisi kukiogopa kitu flani basi jilazmishe ukifanye utakuta unajengea ubongo kwamba ulikuwa unaogopa bure tu!hayo matatizo yanapata wengi hata ambao walikuwa hawaadhibiwi sana nyumbani hupoteza kujiamini.ubongo uko flexible sana unavyoufanyia ndivyo unavyofuata ukiuzoesha kujiamini utajiamini ukijishusha wenyewe unakushusha hadi kina cha mwisho!
Kikubwa unahisi labda ukiongea mbele za watu utaonekana umesema pumba
Hapa penyewe kabisa
Umenigusa
 
  1. Shiriki sana katika Midahalo.
  2. Penda sana kujumuika na Watu na changia bila kujishtukia.
  3. Penda sana kuwafuatilia wale wote ambao kwako unawaona ni Mfano wako wa Watu wanaojiamini.
  4. Jenga tabia ya kuwa mbishi au kuanzisha ubishi hasa katika kadamnasi ya Watu.
  5. Jifunze kuwa Mtu wa utani utani mwingi.
  6. Hakikisha knowledge bank yako ni ya kutosha kwani 99.9% Confidence hunogeshwa na IQ kubwa ya Mlengwa.
  7. Jikite mno katika kufanya mazoezi ya kati au magumu kwani mara nyingi Confidence hujengwa na uimara wa mwili kwani mwili legelege huzaa " jitu " lisilojiamini siku zote.
Asante
 
Pia unaweza kuhudhuria public speaking courses. Kuna consultancy firms zinaendesha kozi hizo na zimesaidia wengi.
 
Confidence, confidence

Kama ni presentation... Fanya yafuatayo

1. Hakikisha unakijua kiundani kitu ambacho utapresent
2. Kabla ya kupresen mbele za watu wengi present kwanza kwa rafiki zako 2 au 3
3. Vaa vizuri, muonekano unaongeza kujiamini.
4. Ukifika mbela za watu. Salimia, kisha kabla ya kwenda kwenye subject matter anza na kautani kidogo.
5. Usimwangalie mtu mmoja usoni moja Kwa moja, angalia pande zote kwenye usawa wa mapaji ya uso.
6. Usisimame sehem moja, tembea tembea kidogo ka utasimama sehem moja rahis kuanza kutetemeka.

Kama unataka confidence ya kuongea na mtu mmoja, let say Msichana au mvulana fanya yafuatayo:

1. Jaribu kumjua kwa muhtasari mtu ambaye anatarajia kuongea naye.
2. Kuwa subira, usiongee mengi sana mwanzo
3. Kama unayeongea naye unakuangalia sana usoni basi we hakikisha haipati mboni yako na kama unayeongea naye anaangalia chini hakikisha unamwangalia usawa wa macho yako ili akiinuka tu akutane na macho yako.
4. Dhibiti mwenendo wako wa upumuaji. Kuvuta kwa pua kutolea kwa mdomo kutakusaidia kupoza moyo kwenda mbio.
 
Back
Top Bottom