Jmujun
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 965
- 522
Namaanisha kujivunia kipaji chako, mfano wewe muimbaji, mwanasoka, mchoraji chochote ulichonacho cha pekee ukiweza jitambua jivunie kuwa nacho utajikuta unajiamini kwa kipaji chakoKwy 5! Unaweza kufuatilia vizuri mfn timu unayoipenda labda simba,yanga,kauzu,au manu au juve,chelsea alafu ijua vizuri iyo team,list y wachezaji etc alafu nenda kwy kibanda umiza au bar siku wakiwa na mechi kaa mbele au katikati anza kubishana na watu kwa fact then ukitoka hapo utaona levele yako ya confidence imepanda!fanya mara kwa mara utajikuta inakupa kujiamini,unaweza kuongelea hata siasa na kwy kundi kubwa la watu itakusaidia! Ukifika chuo gombea uongozi wowote pia etc itakusaidia!