Recent content by Erasto2020

  1. Erasto2020

    Nafikiria kuhama Catholic

    Mawazo chanya tayari unayo. Sadaka zako elekeza kwa wahitaji, mfano wafungwa, wagonjwa, yatima, wajane na wazee maana hii ndiyo ibada inayomfurahisha Mungu wa Mbinguni. Na ukiishi hivi Mungu mwenyewe atakuinulia watu na marafiki wapya wengi sana. Lkn ukitaka kuzikwa vizuri kwa mapambio na jeneza...
  2. Erasto2020

    Changamoto ya kupata AVN ,nataka kukushtaki chuo

    Kama ni hivyo, unaweza kushtaki chuo kama itasaidia. Japo kwa upande wangu nadhani ni vema umwone Exam officer myajenge kama ni mwelewa. Shida ya mifumo yetu ni kwamba kwenda mahakamani wakati mwingine haikuhakikishii kuwa utapata haki yako. Taasisi nayo inaweza kutumia nguvu kubwa kuhakikisha...
  3. Erasto2020

    Changamoto ya kupata AVN ,nataka kukushtaki chuo

    Kabla ya kushitaki chuo, ushawahi kuwasiliana na NACTVET kujua wao wanakusaidiaje kama ukienda na vyeti vyako ? Au matokeo hayo ni lazima yapelekwe na chuo na si vinginevyo ? Kama unaweza kupeleka mwenyewe na ukafanikisha ishu yako basi fanya hivyo badala ya kupoteza gharama na muda huko...
  4. Erasto2020

    Prophetic code year 2026

    will there be another election this year ?
  5. Erasto2020

    Nimebarikiwa na mahubiri kutoka kwa mtumishi wa Mungu Dr. Alex G. Malasusa

    Kwa mtazamo wangu nadhani Amani na Haki vizungumzwe kwa pamoja kwasababu vinategemeana sana. Ila tukiona kuwa anayehubiri amani ni mzuri kuliko anayehubiri haki, kuna mahali tunakwepa kuwajibika.
  6. Erasto2020

    Nimebarikiwa na mahubiri kutoka kwa mtumishi wa Mungu Dr. Alex G. Malasusa

    Moja ya kitu kinachonishangaza ni pale ambapo, watu wanaohubiri amani kuona kuwa wanaohubiri haki hawafai. Kama jamii itaenda kwa mtazamo huu hakuna kitu jamii ita achieve kati ya hivyo viwili.
  7. Erasto2020

    Ni vema Askofu Ruwai'chi akatubu kwa kumuita lofa mtu aliyemshitaki Padri Kitima kwa Papa

    Lofa siyo tusi ila ni mtu alokosa kazi ya msingi ya kufanya. Na kwa muktadha aliozungumza Askofu, nadhani yupo sahihi.
  8. Erasto2020

    Ni vema Askofu Ruwai'chi akatubu kwa kumuita lofa mtu aliyemshitaki Padri Kitima kwa Papa

    Huenda ungejua maana ya neno lofa, usingeandika haya🙂
  9. Erasto2020

    Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

    Hahaha subutuuu ! Yaani kwa ufupi huyo ni malaya kama malaya wengine tu. Subiri arejee kwenye hali yake anaenda tena na hutoamini hasilani.
  10. Erasto2020

    Design hii ya wanawake wanastahili kutorokwa kwenye bill

    Kila mwanamke ana type ya wanaume wanaomtaka. Tatizo lako hukujua unatoka na mwanamke wa type gani. Next time kabla hujatoka na mwanamke make sure unajua aina ya mwanamke unaekutana nae. Hapa duniani kila mwanamke kuna type ya mwanaume anamtaka hivyo hivyo alivyo, mkuu.
  11. Erasto2020

    Kama ikitokea nimeoa sitamsaliti mke wangu

    Mimi naamini hakuna mwanaume huwa anapanga kusaliti baada ya kuoa. Infact mtu huoa the best coice kwake hata hivyo, Ndoa ni taasisi yenye rangi za kila aina. Endelea kuomba Mungu akusaidie utimize dhamira yako.
  12. Erasto2020

    Njiapanda: Mzee anataka turudi kijijini wakati mama anataka tubaki mjini

    Kama unabaki mjini ujue unabaki kwa faida gani na kama unaenda kijijini ujue unaenda kufanya nini! Kijijini ni kuzuri na mjini ni kuzuri kikubwa ni akili ya watoto na mtazamo wao kuhusu maisha.
  13. Erasto2020

    Ngono ndio chanzo cha umasikini wetu wanaume

    Nadhani ngono inaleta umaskini kama inanunuliwa kila inapohigajika. Yaani kama mwanaume anapata ngono kwa kununua akati kipato chake ni kidogo hapo kweli inaleta umaskini.
  14. Erasto2020

    Hatimaye nimempata!

    Zingatia kanuni moja tu: No Secret, No lies and respect one another. Kuna wakati utamwona wa kawaida sana lkn usiruhusu hali ya kumzoea. Maisha yenu yatakuwa na furaha daima. Remember love is a Choice NOT feelings. Nakutakieni maisha mema.
Back
Top Bottom