Mawazo chanya tayari unayo. Sadaka zako elekeza kwa wahitaji, mfano wafungwa, wagonjwa, yatima, wajane na wazee maana hii ndiyo ibada inayomfurahisha Mungu wa Mbinguni. Na ukiishi hivi Mungu mwenyewe atakuinulia watu na marafiki wapya wengi sana. Lkn ukitaka kuzikwa vizuri kwa mapambio na jeneza...
Kama ni hivyo, unaweza kushtaki chuo kama itasaidia. Japo kwa upande wangu nadhani ni vema umwone Exam officer myajenge kama ni mwelewa. Shida ya mifumo yetu ni kwamba kwenda mahakamani wakati mwingine haikuhakikishii kuwa utapata haki yako. Taasisi nayo inaweza kutumia nguvu kubwa kuhakikisha...
Kabla ya kushitaki chuo, ushawahi kuwasiliana na NACTVET kujua wao wanakusaidiaje kama ukienda na vyeti vyako ? Au matokeo hayo ni lazima yapelekwe na chuo na si vinginevyo ?
Kama unaweza kupeleka mwenyewe na ukafanikisha ishu yako basi fanya hivyo badala ya kupoteza gharama na muda huko...
Kwa mtazamo wangu nadhani Amani na Haki vizungumzwe kwa pamoja kwasababu vinategemeana sana. Ila tukiona kuwa anayehubiri amani ni mzuri kuliko anayehubiri haki, kuna mahali tunakwepa kuwajibika.
Moja ya kitu kinachonishangaza ni pale ambapo, watu wanaohubiri amani kuona kuwa wanaohubiri haki hawafai. Kama jamii itaenda kwa mtazamo huu hakuna kitu jamii ita achieve kati ya hivyo viwili.
Kila mwanamke ana type ya wanaume wanaomtaka. Tatizo lako hukujua unatoka na mwanamke wa type gani. Next time kabla hujatoka na mwanamke make sure unajua aina ya mwanamke unaekutana nae. Hapa duniani kila mwanamke kuna type ya mwanaume anamtaka hivyo hivyo alivyo, mkuu.
Mimi naamini hakuna mwanaume huwa anapanga kusaliti baada ya kuoa. Infact mtu huoa the best coice kwake hata hivyo, Ndoa ni taasisi yenye rangi za kila aina. Endelea kuomba Mungu akusaidie utimize dhamira yako.
Kama unabaki mjini ujue unabaki kwa faida gani na kama unaenda kijijini ujue unaenda kufanya nini! Kijijini ni kuzuri na mjini ni kuzuri kikubwa ni akili ya watoto na mtazamo wao kuhusu maisha.
Nadhani ngono inaleta umaskini kama inanunuliwa kila inapohigajika. Yaani kama mwanaume anapata ngono kwa kununua akati kipato chake ni kidogo hapo kweli inaleta umaskini.
Zingatia kanuni moja tu: No Secret, No lies and respect one another. Kuna wakati utamwona wa kawaida sana lkn usiruhusu hali ya kumzoea. Maisha yenu yatakuwa na furaha daima. Remember love is a Choice NOT feelings. Nakutakieni maisha mema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.