wadanganyika wenzangu hebu tushtuke, tusikubali kuchezeshwa ngoma isiyo yetu. hii ngoma inapigwa kipindi hiki kwa sauti ya juu ili kutusahulisha kufuatilia midundo ya ngoma inyotuhusu, ngoma halali kwetu kuicheza. mafao yetu. wanatuchezesha ngoma mpya. tayari ngoma ya MAFAO YA KUSTAAFU...
TAYARI WAMESHATUHAMISHA KWENYE MADA YA MAFAO YETU. NA TULIVYO NA AKILI ZA KONDOO... TUMEFUATA. TUKIJA KUKAA SAWA MJADALA WA MAFAO YA KUSTAAFU UMESHASAHULIKA. (nimeandika kwa herufi kubwa kama ishara ya kupiga kelele)
inanishangaza kwa vilaza, wasio na mila wala destuli nao kuwa humu JF, tena sio jukwaa la vichekesho. jamaa alichoandika sio kwa ajili ya watoto wadogo wasio na majukumu ya kulea wazazi na wakwe zao. kwa sisi wenye majukumu mbele ya jamii tukufu ya kiafrika, tumeelewa na kuunga mkono. hao...
wapi alama yoyote kuenyesha kuwa waraka/tamko hili limetoka sehemu tajwa? japo jina na signature ya mwandishi? au japo kijimuhuli cha taasisi tajwa? hofu yangu isije ikawa nimeandika mimi na kuwasingizia waislamu wenzangu. nawasilisha.
hongera kwa kuwa na kitu ambacho vijana wengi wa kitanzania hatuna; UBUNIFU. tumezoea kusubiri kuanzishiwa, na kulalamika. andaa proposal yako, nenda pale posta, onana na maafisa magereza, hata kama nao watakupa majibu fyongo, usikata tamaa, songa hadi ofisi za haki za binadamu, utapata ushauri...
serikali kupitia kamishina mkuu wa elimu imetoa waraka mwaka huu ukipinga jambo hili. baadhi ya shule ilifikia hatua ya kubambikiza makosa kwa wanafunzi wanaohisi hawatafaulu na kuwafukuza shule.
Kwa mujibu wa waraka huo, ni makosa kwa shule kuwaondoa wanafunzi walio katika mwaka wa mtihani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.