Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
walimu wa art au science? maana kila siku nasikia kuna uhaba wa walimu mashuleni
 
Mdogo wangu kapiga PSPA mwaka wa 7anafundisha private kitu ambacho hajasomea
 
Na Bado Ngoja zikitokaa,waombe sanaaa zisitoke,kuna raia aliniongelea maneno ya kejeli first year
 
wadau mbona hata mto bado kuvukwa? Nimepita kuwapa hae jamani.
 
Nimependaaaaaaa coz kama geog vipindi vi tatu kwa wiki after dat ni bata mpakaaaaaaaaa next weekiiiiiiii Ualimu bwana raha sana.

Mtatembea na bahasha za kaki mpaka mtaomba poooooi. Vyuoni mlitutesa sana na vicoz vyenu vya kiboya utasikia nimepata field NSSF nyoooo haya nenda wakakuajiri hao hao pumbavuuuuu

Hahahahahaha wee jamaa umenifanya nicheke sana Sisi tulipokua chuo tumesoma na mabrothermen wengi sana pale UDBS huweiz Amini waliopata kazi mpka leo naowafaham kati wao wako wa wilii wengine kumi badoo kabisaa wameamua kutafuta kufundisha shulee na ubrothermen wao woteee
 
Hakuna ajira mwaka huu. Serikali haina fedha kabisa za kuwaajiri walimu. Poleni sana.
 
Hakuna ajira mwaka huu. Serikali haina fedha kabisa za kuwaajiri walimu. Poleni sana.

hizi habari hata wizara ya elimu nimezisikia jana kwa kiongozi mkubwa. Kadai hawa wataajiriwa baada ya uchaguzi mkuu. Wanadai eti wahisani hawajatoa fedha ingawa bajeti iliandikwa. Dah? Ni sheeeda mwaka huku bora walimu watafute njia mbadala. mwaka huu serikali imefulia sana.
 
Heheeeeeeeeeeeee wanajipa mioyo tu na matumaini hewa.
 
Hahahahahaha wee jamaa umenifanya nicheke sana Sisi tulipokua chuo tumesoma na mabrothermen wengi sana pale UDBS huweiz Amini waliopata kazi mpka leo naowafaham kati wao wako wa wilii wengine kumi badoo kabisaa wameamua kutafuta kufundisha shulee na ubrothermen wao woteee

Sasa wangetoa majina ya walimu wanaowahitaji alafu wakasema kulipoti ni mpaka watakapotangaziwa ingefaa zaidi.
 
hizi habari hata wizara ya elimu nimezisikia jana kwa kiongozi mkubwa. Kadai hawa wataajiriwa baada ya uchaguzi mkuu. Wanadai eti wahisani hawajatoa fedha ingawa bajeti iliandikwa. Dah? Ni sheeeda mwaka huku bora walimu watafute njia mbadala. mwaka huu serikali imefulia sana.

hizo hbr umeziskia wapi maana watu daily tunaingia ktk mitandao lkn hatuna hii hbr...na iweje kiongozi mkubwa azungumze pasipo watu kusikia alichokizungumza?
 
Ni vizuri kusubiri hadi hapo watakapo tangaza ajira maana hakuna anaejua" zaidi tuu ya watu kujaribu kutoa michango yao jinsi wafikiriavyo big up wanajamii
 
watu wana roho mbaya sana....kwanza niwape tu info ikitokea tukapigwa chini cc walimu basi nyie ambao hamjasomea ualimu mliojibanza shule za private lazima mng'atuke maana tunakuja kuwatoa kwa fimbo...kwa hiyo bwana hili swala la kuajiriwa walimu nyie lishedededieni tu pasipo kujua athari zake.....kuna jamaa mmoja chuo alikua anasomea environment na geography first year alikua anatuponda sana lkn tulipo maliza chuo tukapanga nae foleni ya kujaza ajira...na yy alijaza akiwa na wenzake lkn uongozi ulipobaini tu zoezi likasitishwa na kuanza upya washakaji walipoa mnooo....nikawaza cju nimkumbushie...nikagiv up maana tungerushiana makonde maana jamaa alikua kafyumu mbaya ni kamatu ana njaa hlf apokonywe msosi
 
Vijana walipiga shule, ikaja paper, wakapasua. Wameenda kupiga kwata, wameiva vyema, wamerudi mtaani kwetu wakiwa imara. Je ni lini wataitwa kazini?

Njaa kali huku mtaani, wasije wakautumia ujuzi wa kijeshi huku mtaani kwetu.

Tafadhali mwenye taarifa lini jamaa wa tamisemi watataja vituo vipya vya ajira za wa walimu atuambie ili kurejesha amani.
 
mm juzi nilijaribu kuwatumia email tamisemi lkn mpk muda huu naona zzzzzzzzzz......work rate ya mbongo ni very poor
 
Eti wadau ajira mpaka mwezi wa sita....eti katangaza waziri,yana ukweli hayooo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom