Tusimlaumu mh Rais Magufuli kutokana na hukumu ya samaki

Developer IOS

JF-Expert Member
Jun 20, 2017
1,457
1,409
Habari wakuu,kumekuwa na siasa za maji taka zisizo na kichwa wala miguu za kumlaumu na kumtuhumu doctor maguli kwa hasara iliyotokana na kesi ya samaki.

Rais magufuli kipindi kile alijitahidi kadri ya uwezo wake kupigania maslai ya Taifa hili na kila mtu alijua wachina walivua katika eneo letu la bahari kinyume na sheria kwa upande wake na ukomo wake wa mamlaka kwa kipindi kile alifanya kazi yake kwa ufanisi mkubwa na uadilifu wa hali ya juu.

Je wakulaumiwa ni nani? Ndugu zangu hakuna asiyejua kipindi kile nchi ilikuwa imetawaliwa kwa kiasi kikubwa na rushwa na uhujumu uchumi rais magufuli alikamalisha kazi yake na kuachia mamlaka zinazofata hapo nazungumzia mawakiki wa wizara ambao kwa kiasi kikubwa wamechangia kwa maksudi au uzembe kushindwa kwa kesi ile.

mytake tuunge mkono juhud nzur za mh rais kutukomboa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nafikiri alikurupuka alipo pata taarifa kuwa ipo meli inavua akaikamata bila ya kujiridhisha kuwa ipo kihalali au la. Baadhi ya mawaziri wake anaowapa maagizo lakini wakachukua tahadhari ya kuto kukurupuka katika kutoa maamuzi wanayo yaona yanaweza ku-backfire yaka sababishia nchi hasara ya mabilioni yeye anakuwa mkali na kuwaita wapumbavu.
 
Habari wakuu,kumekuwa na siasa za maji taka zisizo na kichwa wala miguu za kumlaumu na kumtuhumu doctor maguli kwa hasara iliyotokana na kesi ya samaki.

Rais magufuli kipindi kile alijitahidi kadri ya uwezo wake kupigania maslai ya Taifa hili na kila mtu alijua wachina walivua katika eneo letu la bahari kinyume na sheria kwa upande wake na ukomo wake wa mamlaka kwa kipindi kile alifanya kazi yake kwa ufanisi mkubwa na uadilifu wa hali ya juu.

Je wakulaumiwa ni nani? Ndugu zangu hakuna asiyejua kipindi kile nchi ilikuwa imetawaliwa kwa kiasi kikubwa na rushwa na uhujumu uchumi rais magufuli alikamalisha kazi yake na kuachia mamlaka zinazofata hapo nazungumzia mawakiki wa wizara ambao kwa kiasi kikubwa wamechangia kwa maksudi au uzembe kushindwa kwa kesi ile.

mytake tuunge mkono juhud nzur za mh rais kutukomboa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hujui hata tofauti ya "maslahi" na "maslai" halafu unataka kujishebedua kuandika siasa.

Sent from my Kimulimuli
 
Ni pale mbaazi inapokosa maua...

Sent using Jamii Forums mobile app
INASIKITISHA WATU WANAKAMATWA KWENYEE BAHARI YENU WANASHINDA KESI. JE BAHARI ILE NI TA TANZANIA AU ZANZIBAR MAAANA SIELEWI NI IPI YA TZ NACIPI YA ZANZIBAR JE KAMA WALIKUWA NA VIBALI KWA ULE UPANDE MWINGINE KAMA ZILE MELI ZINAZOPEPEA BENDERA YA TZ WALIOPEWA NA WAO HIYO KESI ITAKUWA TUM3SHINDWA.
 
Huyu ni JF Expert Member hata kuandika Kiswahili tu hajui na bado anashoboka kuanzisha uzi wa kisiasa! Umefika wakati sasa JF iangalie namna bora ya kutoa hivi vyeo. Cheo alichonacho mshikaji ni kikubwa sana lakini kwa namna alivyoliwasilisha hili bandiko inakatisha tamaa kwa kweli.
 
Je ni mara yakwanza magufuli kufanya maamuzi ya haraka akidhani tunaibiwa? Kwa nini dr john pombe joseph anadhani everytime and everyone is a thief? .......why ?
 
Habari wakuu,kumekuwa na siasa za maji taka zisizo na kichwa wala miguu za kumlaumu na kumtuhumu doctor maguli kwa hasara iliyotokana na kesi ya samaki.

Rais magufuli kipindi kile alijitahidi kadri ya uwezo wake kupigania maslai ya Taifa hili na kila mtu alijua wachina walivua katika eneo letu la bahari kinyume na sheria kwa upande wake na ukomo wake wa mamlaka kwa kipindi kile alifanya kazi yake kwa ufanisi mkubwa na uadilifu wa hali ya juu.

Je wakulaumiwa ni nani? Ndugu zangu hakuna asiyejua kipindi kile nchi ilikuwa imetawaliwa kwa kiasi kikubwa na rushwa na uhujumu uchumi rais magufuli alikamalisha kazi yake na kuachia mamlaka zinazofata hapo nazungumzia mawakiki wa wizara ambao kwa kiasi kikubwa wamechangia kwa maksudi au uzembe kushindwa kwa kesi ile.

mytake tuunge mkono juhud nzur za mh rais kutukomboa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ndogo wachache ndio wanaomlaumu.
 
kama unajua kiswahili nenda kawe mwalimu hapa tunapambana kwa hoja sio ufasaha wa lugha jibu hoja kwa hoja acha kudiscuss ppl discuss idea

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama hujui spelling tu za Kiswahili, hata hatujafika kwenye Kiingereza, hujanishawishi kwamba hata mavi ya hoja nikiyaweka chini ya pua yako unaweza kuyanusa.

Wewe unahitaji kwenda shule ya ngumbaru, si kujifaragua na hoja hapa.

Sembuse kuijua hoja yenyewe.
 
Tatizo hujui hata tofauti ya "maslahi" na "maslai" halafu unataka kujishebedua kuandika siasa.

Sent from my Kimulimuli
Hapa kuna mambo mawili yatakuwa yanakuhusu
1.Wewe utakuwa una cheti fake pia
2.Ulijenga karibu na barabara
Kwahiyo ukijumuisha vyote hivyo lazima utakuwa mkali ukisikia jina John Joseph Pombe Magufuri, tehe tehe tehe tehe
 
Hapa kuna mambo mawili yatakuwa yanakuhusu
1.Wewe utakuwa una cheti fake pia
2.Ulijenga karibu na barabara
Kwahiyo ukijumuisha vyote hivyo lazima utakuwa mkali ukisikia jina John Joseph Pombe Magufuri, tehe tehe tehe tehe
Wewe umezoea uzushi na kujifaragua kujua mambo usiyoyajua.

Huko Tanzania sitaki hata kaburi langu liwepo, sembuse habari za kujenga.

Pumbavu.
 
Ha ha ha ha ha
Na kununua kivuko kibovu na kuuza nyumba za serikali nalo unalizungumziaje hili?
Teh teh teh
Pale fisadi anapoombewa msamaha
 
Wewe kama hujui spelling tu za Kiswahili, hata hatujafika kwenye Kiingereza, hujanishawishi kwamba hata mavi ya hoja nikiyaweka chini ya pua yako unaweza kuyanusa.

Wewe unahitaji kwenda shule ya ngumbaru, si kujifaragua na hoja hapa.

Sembuse kuijua hoja yenyewe.
unajua unachekesha sana kujua kiingereza au kiswahili hakudetermine uwezo wako wa kufikiri rudi shule kwanza
"ignorant discuss ppls clever ppl discuss idea"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wale wachina walituibia but uzembe ulifanywa na mawakili wa wizara haiwezekani wezi wakatushindwa kesi naona harufu ya rushwa ndani ya ile kesi

Sent using Jamii Forums mobile app
So huna imani na mahakama au huna imani na mawakili embuacha kupindisha maneno...je magufuli ni mara ya kwanza kukurupuka kwenye maamuzi ya namna hii?
 
Tumlaumu yule yule mchochezi mkubwa nchi hii Kamanda Antipas Tundu Lissu yeye ndiyo chanzo cha hii kesi.

Habari wakuu,kumekuwa na siasa za maji taka zisizo na kichwa wala miguu za kumlaumu na kumtuhumu doctor maguli kwa hasara iliyotokana na kesi ya samaki.

Rais magufuli kipindi kile alijitahidi kadri ya uwezo wake kupigania maslai ya Taifa hili na kila mtu alijua wachina walivua katika eneo letu la bahari kinyume na sheria kwa upande wake na ukomo wake wa mamlaka kwa kipindi kile alifanya kazi yake kwa ufanisi mkubwa na uadilifu wa hali ya juu.

Je wakulaumiwa ni nani? Ndugu zangu hakuna asiyejua kipindi kile nchi ilikuwa imetawaliwa kwa kiasi kikubwa na rushwa na uhujumu uchumi rais magufuli alikamalisha kazi yake na kuachia mamlaka zinazofata hapo nazungumzia mawakiki wa wizara ambao kwa kiasi kikubwa wamechangia kwa maksudi au uzembe kushindwa kwa kesi ile.

mytake tuunge mkono juhud nzur za mh rais kutukomboa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom