Kanunue chupi tano za kike kubwa ( za wenye msambwanda), halafu kila siku asubuhi unaanika moja pamoja na nguo zako.......Atakuja kukuomba msamaha, utaendelea kula tunda na kusamehewa kodi
Aiseee walikuwa kero jamani, wilaya moja unakuta vituo vyao vinne au zaidi.... Mbaya zaidi wote wanataka hela.... Mpaka madereva wakajizoesha kutoa hela kila wanapowaona hata kama hawajatajiwa makosa......
Mara nyingi kwenye maisha, kama huna hela ukiwaona wenye nazo wakifanya matumizi, unadhani wanafuja....
We komaa na Tecno yako ya 130,000/=
Mwache mwenzio anunue simu kulingana na uwezo wake.
Maana yake, huyo aliyeanzisha uzi.... Ameanzisha uzi ambao haujakamilika, akiwa na maana uanzishwaji wa uzi huusisha uandishi...... Hivyo ili ukamilishe uzi vizuri unatakiwa uwe na taaluma ya uandishi au uwe na chembechembe zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.