Utaratibu wa kukata mti ili kuepuka faini

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Sep 12, 2012
4,809
6,342
Habarini za wakati huu wakuu..

Moja kwa moja kwenye mada. Inawezekana nia ya Serikali ni njema, lakini tatizo liko kwa watendaji waliokabidhiwa ofisi za Serikali kuwahudumia wananchi.

Kuna mti wa mwembe umeegamia kabisa uzio wa jirani yetu in such a way kwamba wazoefu wanasema muda wowote kuanzia sasa unaweza kuangukia upande wa huyo jirani yetu na kusababisha maafa.

Tulipotaka kuukata tukadokezwa kwamba siku hizi huruhusiwi kukata wala kupunguza matawi mti wowote bila kibali, vinginevyo kuna fine, achilia mbali MVULE ambao inafahamika tangu zamani kwamba hautakiwi kukatwa bila kibali maalumu.

Kweli nimefika hadi ofisini kwa Mtendaji wa Mtaa, akaniambia nimuandikie barua ya ombi la kukata huo mwembe. Nikaiandika. Shida ikaanzia hapa, akasema anatakiwa aitishe kikao cha wajumbe wa Serikali ya Mtaa kujadili agenda ya kukata huo mwembe! Yani mti unapangiwa agenda na wajumbe wa Serikali ya Mtaa! Wajumbe wako 7 kwahiyo niwatafutie posho kwasababu wakiitwa wataacha shughuli zao kuja kikaoni. Hivi, hizi nafasi za ujumbe wa Serikali za Mtaa si mtu anaomba kwa hiari? Kwanini aombe kama ana shughuli nyingine?

Shida siyo kutoa posho, shida ni Mtendaji anavyolazimisha!! As if bila posho mti haukatwi hata kama hali yake ni hatarishi kiasi gani!!!

Haya..wakishakaa wajumbe barua inaenda kwa Afisa Mazingira wa Wilaya, anaiidhinisha. Hatua inayofata barua inaenda kwa DAS, naye atoe kibali, na hatua nyingine ambazo sikuwa interested kuzisikiliza.

Wakuu, niko kwenye nafasi ya kutoa malalamiko yangu ngazi za juu na huyu Mtendaji akawajibishwa lakini sioni haja ya kufanya hivyo, naamini humu ndani kuna maafisi wa kada mbalimbali wa Halmashauri za Miji na Majiji, hebu tusaidiane katika hili.

Sawa kuna njaa mtaani, lakini hii haiwezi kuwa sawa. Kwahiyo wale masikini hawataruhusiwa kukata miti waliyoipanda na kuihudumia wao wenyewe kwa kukosa posho ya kikao cha wajumbe?

Tutamkumbuka sana JPM. Naombeni ushauri tafadhali...
 
Habarini za wakati huu wakuu..

Moja kwa moja kwenye mada. Inawezekana nia ya Serikali ni njema, lakini tatizo liko kwa watendaji waliokabidhiwa ofisi za Serikali kuwahudumia wananchi.

Kuna mti wa mwembe umeegamia kabisa uzio wa jirani yetu in such a way kwamba wazoefu wanasema muda wowote kuanzia sasa unaweza kuangukia upande wa huyo jirani yetu na kusababisha maafa.

Tulipotaka kuukata tukadokezwa kwamba siku hizi huruhusiwi kukata wala kupunguza matawi mti wowote bila kibali, vinginevyo kuna fine, achilia mbali MVULE ambao inafahamika tangu zamani kwamba hautakiwi kukatwa bila kibali maalumu.

Kweli nimefika hadi ofisini kwa Mtendaji wa Mtaa, akaniambia nimuandikie barua ya ombi la kukata huo mwembe. Nikaiandika. Shida ikaanzia hapa, akasema anatakiwa aitishe kikao cha wajumbe wa Serikali ya Mtaa kujadili agenda ya kukata huo mwembe! Yani mti unapangiwa agenda na wajumbe wa Serikali ya Mtaa! Wajumbe wako 7 kwahiyo niwatafutie posho kwasababu wakiitwa wataacha shughuli zao kuja kikaoni. Hivi, hizi nafasi za ujumbe wa Serikali za Mtaa si mtu anaomba kwa hiari? Kwanini aombe kama ana shughuli nyingine?

Shida siyo kutoa posho, shida ni Mtendaji anavyolazimisha!! As if bila posho mti haukatwi hata kama hali yake ni hatarishi kiasi gani!!!

Haya..wakishakaa wajumbe barua inaenda kwa Afisa Mazingira wa Wilaya, anaiidhinisha. Hatua inayofata barua inaenda kwa DAS, naye atoe kibali, na hatua nyingine ambazo sikuwa interested kuzisikiliza.

Wakuu, niko kwenye nafasi ya kutoa malalamiko yangu ngazi za juu na huyu Mtendaji akawajibishwa lakini sioni haja ya kufanya hivyo, naamini humu ndani kuna maafisi wa kada mbalimbali wa Halmashauri za Miji na Majiji, hebu tusaidiane katika hili.

Sawa kuna njaa mtaani, lakini hii haiwezi kuwa sawa. Kwahiyo wale masikini hawataruhusiwa kukata miti waliyoipanda na kuihudumia wao wenyewe kwa kukosa posho ya kikao cha wajumbe?

Tutamkumbuka sana JPM. Naombeni ushauri tafadhali...
tangu lini mtendaji akasimamia miti, hiyo ni kazi ya tfs, na wao ni miti asili siyo ya kupanda
wewe kata mti panda mti
 
Afisa mtendaji atapaswa kuandika barua kwenda kwa afisa maliasili wa wilaya, then unajibiwa ombi lako.
Katika barua unaandika sababu za kuukata mti.
Na utapewa kibali.

Mtendaji hana haja ya wajumbe wala kupewa posho. Hilo halipo. Maamuzi yatatolewa na afisa maliasili wa wilaya na si TFS.

Kama mti ni wa asili ndiyo kunakuwa na tozo ambazo mtu analipa TFS baada ya hatua hapo juu kukamilika.

Huo ni mwembe hivyo hamna tozo yoyote zaidi ya kuwa na kibali cha kukata.
 
tangu lini mtendaji akasimamia miti, hiyo ni kazi ya tfs, na wao ni miti asili siyo ya kupanda
wewe kata mti panda mti
Asipo fuata kanuni atawajibishwa kwa faini hakika. Usimshauri vibaya.

Afisa maliasili wa Halmashauri ya Wilaya husika atatoa maamuzi na si TFS.
 
Kuna Miti ambayo imeruhusiwa kukatwa bila kibali ambao ni Mnazi, Mwembe, Muarobaini na mingine ipo 7 wewe umejipeleka mwenyewe kwa hao watu na wao hiyo changamoto yako ya kutokujua wameifanya kuwa fursa
 
Ivi mfano ukiukata bila ya kibali ni nini watakachofanya kuanzia serikali ya mtaa kwenda ngazi ya wilaya
 
Tafuta vijana wenye chainsaw walioikatia vibali,ndicho nilichofanya mimi.
 
Habarini za wakati huu wakuu..

Moja kwa moja kwenye mada. Inawezekana nia ya Serikali ni njema, lakini tatizo liko kwa watendaji waliokabidhiwa ofisi za Serikali kuwahudumia wananchi.

Kuna mti wa mwembe umeegamia kabisa uzio wa jirani yetu in such a way kwamba wazoefu wanasema muda wowote kuanzia sasa unaweza kuangukia upande wa huyo jirani yetu na kusababisha maafa.

Tulipotaka kuukata tukadokezwa kwamba siku hizi huruhusiwi kukata wala kupunguza matawi mti wowote bila kibali, vinginevyo kuna fine, achilia mbali MVULE ambao inafahamika tangu zamani kwamba hautakiwi kukatwa bila kibali maalumu.

Kweli nimefika hadi ofisini kwa Mtendaji wa Mtaa, akaniambia nimuandikie barua ya ombi la kukata huo mwembe. Nikaiandika. Shida ikaanzia hapa, akasema anatakiwa aitishe kikao cha wajumbe wa Serikali ya Mtaa kujadili agenda ya kukata huo mwembe! Yani mti unapangiwa agenda na wajumbe wa Serikali ya Mtaa! Wajumbe wako 7 kwahiyo niwatafutie posho kwasababu wakiitwa wataacha shughuli zao kuja kikaoni. Hivi, hizi nafasi za ujumbe wa Serikali za Mtaa si mtu anaomba kwa hiari? Kwanini aombe kama ana shughuli nyingine?

Shida siyo kutoa posho, shida ni Mtendaji anavyolazimisha!! As if bila posho mti haukatwi hata kama hali yake ni hatarishi kiasi gani!!!

Haya..wakishakaa wajumbe barua inaenda kwa Afisa Mazingira wa Wilaya, anaiidhinisha. Hatua inayofata barua inaenda kwa DAS, naye atoe kibali, na hatua nyingine ambazo sikuwa interested kuzisikiliza.

Wakuu, niko kwenye nafasi ya kutoa malalamiko yangu ngazi za juu na huyu Mtendaji akawajibishwa lakini sioni haja ya kufanya hivyo, naamini humu ndani kuna maafisi wa kada mbalimbali wa Halmashauri za Miji na Majiji, hebu tusaidiane katika hili.

Sawa kuna njaa mtaani, lakini hii haiwezi kuwa sawa. Kwahiyo wale masikini hawataruhusiwa kukata miti waliyoipanda na kuihudumia wao wenyewe kwa kukosa posho ya kikao cha wajumbe?

Tutamkumbuka sana JPM. Naombeni ushauri tafadhali...
Wewe unataka kuukata ili uwauzie wanaotengeneza fanicha na vitanda, Dar mmeimaliza miembe ya asili kwa kuikata na kuiuza.
 
Habarini za wakati huu wakuu..

Moja kwa moja kwenye mada. Inawezekana nia ya Serikali ni njema, lakini tatizo liko kwa watendaji waliokabidhiwa ofisi za Serikali kuwahudumia wananchi.

Kuna mti wa mwembe umeegamia kabisa uzio wa jirani yetu in such a way kwamba wazoefu wanasema muda wowote kuanzia sasa unaweza kuangukia upande wa huyo jirani yetu na kusababisha maafa.

Tulipotaka kuukata tukadokezwa kwamba siku hizi huruhusiwi kukata wala kupunguza matawi mti wowote bila kibali, vinginevyo kuna fine, achilia mbali MVULE ambao inafahamika tangu zamani kwamba hautakiwi kukatwa bila kibali maalumu.

Kweli nimefika hadi ofisini kwa Mtendaji wa Mtaa, akaniambia nimuandikie barua ya ombi la kukata huo mwembe. Nikaiandika. Shida ikaanzia hapa, akasema anatakiwa aitishe kikao cha wajumbe wa Serikali ya Mtaa kujadili agenda ya kukata huo mwembe! Yani mti unapangiwa agenda na wajumbe wa Serikali ya Mtaa! Wajumbe wako 7 kwahiyo niwatafutie posho kwasababu wakiitwa wataacha shughuli zao kuja kikaoni. Hivi, hizi nafasi za ujumbe wa Serikali za Mtaa si mtu anaomba kwa hiari? Kwanini aombe kama ana shughuli nyingine?

Shida siyo kutoa posho, shida ni Mtendaji anavyolazimisha!! As if bila posho mti haukatwi hata kama hali yake ni hatarishi kiasi gani!!!

Haya..wakishakaa wajumbe barua inaenda kwa Afisa Mazingira wa Wilaya, anaiidhinisha. Hatua inayofata barua inaenda kwa DAS, naye atoe kibali, na hatua nyingine ambazo sikuwa interested kuzisikiliza.

Wakuu, niko kwenye nafasi ya kutoa malalamiko yangu ngazi za juu na huyu Mtendaji akawajibishwa lakini sioni haja ya kufanya hivyo, naamini humu ndani kuna maafisi wa kada mbalimbali wa Halmashauri za Miji na Majiji, hebu tusaidiane katika hili.

Sawa kuna njaa mtaani, lakini hii haiwezi kuwa sawa. Kwahiyo wale masikini hawataruhusiwa kukata miti waliyoipanda na kuihudumia wao wenyewe kwa kukosa posho ya kikao cha wajumbe?

Tutamkumbuka sana JPM. Naombeni ushauri tafadhali...
Wakati unaupanda na kuumwagilia uliwapa taarifa, na waliitana kufanya vikao?
 
Hadi mwembe nao uwe na kibali.
Mapya Sasa haya.
Hilo katazo wangeweka kwenye miti ile ya asili ambayo IPO misituni
 
Acha ujinga hakuna sheria inayokataza kupunguza mti matawi/ prunning na thinning . tatizo linaanzia kwa wasomi kushindwa kujiongeza na kuishia kulalamika lalamika kama wajinga.
Msomi anaogopa sheria yaani kukata mti wako tena wa matunda unaenda kwa mtendaji? Watu wanaendaga vyuoni kusomea ujinga huwezi kuta mwanakijiji au mwananchi wa kawaida ana uoga wa kidwanzi anakata mti wake anauchoma mkaa vizuri tu bila wasiwasi na maliasili hamfanyi kitu.

Wasomi wengi ni wezi wa kalamu na biashara hawaziwezi kabisa sababu wanaendaga vyuoni kufundishwa upumbavu, uoga, kutokujiamini, kushindwa kutake risk, kushindwa kushawishi wenye mamlaka.
By the way sheria zimetungwa kusudi zivunjwe kama hazivunjwi hazina maana kabisa
 
Back
Top Bottom