Huo ndo ukweli mkuu na hii tabia imejijenga na inazidi kujijenga kadiri siku zinavyoenda hata ikiwezekana labda huo upande haujausika unakuta watu wote tunanyooshea vidole upande huo!
Salaam wapendwa
Napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha kuwa mimi nipo salama japo juzi kuna watu ambao hawakujitambulisha ni akina nani walifika nyumbani kuniulizia ikiwa hawafahamiki nami sikuwa nyumbani nilipata taarifa tu
Nawaomba radhi wananchi wote kwa TAHARUKI yote iliyojitokeza kwenye...
Habari za muda huu wakuu
Kuna taarifa ambazo hazijadhibitishwa zinaenea kuwa mwanadada na mpiganaji wa Chama cha CHADEMA, Bi. Hilda Newton haijulikani halipo na simu zake hazipatikani watu wanasema mara ya mwisho kuonekana ni siku ya sikukuu ya Muungano.
Tunaomba viongozi wa CHADEMA mfuatilie...
Hongera sana Brother Pascal brother umetuwakilisha vema Jf angalau na Jf imetoa mtu sasa hadi anaitwa kwenye makamati ya bunge, akitoka Pascal, mshanajr ajiandae na maandiko yake ya uganga uganga....hii nchi tunaijua wenyewe watanzania
Kiukweli kwa sasa Chadema hakuna mtu wa kuweza kuchambua na kunyumbulisha vitu vizito kama hivyo huo ndo ukweli yani tuseme leo Lissu asiwepo ndo basi tena angalau mnyika lakini naye kwa sasa naona uwezo umeshuka sana, hao wakina msigwa, lema ndo uwezo huo hawana, mbowe alikuwa anamtegemea sana...
Mkuu sasa wao wafanyaje? Mimi naona ishu kubwa ni elimu tu izidi kutolewa kwa madereva wetu humu barabarani na ukaguzi wa maana wa magari kila wakati, sababu hata huyo RPC ashinde barabarani kuanzia asubuhi lakini kama dereva yupo hovyo na gari ni bovu bado matukio ya ajali yataendelea
Jamaaa lilivyotajwa jina lake kanisani aiseeee watu walishangilia balaaa yani hatari japo wengine pia walishangiliwa lakini lema ilikuwa zaidi..hutaki acha.
GAWANYIKENI MTAWALIWE KIULAINI
(DIVIDE ET IMPERA)
Tanzania ni nchi nzuri. Wakazi wake huitwa na majirani zao kuwa "AKO NA KISWAHILI MREFU," pia "ADHIBU KWANZA KUJITETEA BAADAYE" mabingwa wa kucheza mpira wa miguu kwa mdomo.
Kisiasa ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi. Hata hivyo tofauti za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.