Leo usafiri hapa dsm umezingua sana, kutokana na hizi mvua
Mimi nipo Posta, nipo blocked, jangwani gari hazipiti. Kama upo posta nichek tupeane kampani ya kutembea mpka kimara
Wapambanaji wa hapo Kariakoo, naomba mtuambie business gani atleast ni rahisi kwa mtu mgeni anaweza akajitosa hapo, na kaanza biashara hata kwa mtaji mdogo.
Maana population ya hapo Kariakoo, inatia moyo kufanya business.
Mtupe business ideas za kuishi nazo, hapo Kariakoo.
Nawasilisha.
Wakuu habari,
Kampun gani nzuri ya ulinzi inayolipa atleast vizur kwa wafanyakazi wake.
Hali ya kimaisha imekuwa ngumu sana, Nataka nijitose huko kwenye ulinzi tukusanye mitaji.
Level yangu ya Elimu ni "Bachelor of insurance and risk management"
Cheti cha jkt ninacho.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.