Gef
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 472
- 401
Okay naanza na ww mtoa tangazo ss nakupa kazi ya kunikingia kifua mpaka.nipenye unasemaje?...Nauli unaweza kupata
Okay naanza na ww mtoa tangazo ss nakupa kazi ya kunikingia kifua mpaka.nipenye unasemaje?...Nauli unaweza kupata
tayar nlishaandika nifate inbobo nikupe email yangu ukanipitishe one way alf kituo cha kazi mwenge au mori?..mana si mpo mori ninyiWee andika barua na hiyo CV kisha uitume kwenye email.
Nani mwenye shida?
Mimi au wewe?
Tena anataka wa bureHata wewe, unashida na wafanyakazi
Tena anataka wa bure
Hapo mmempatia sana.Hizo habari akaandike mwenyewe