RTO na LATRA mikoa ya Dodoma na Singida, basi la ISAMILO T863 DSB kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, muda huu lipo Dodoma na limepakia abiria waliosimama zaidi ya 20.
Cha ajabu basi limeingia standi kuu ya 88 Jijini Dodoma na hakuna Askari wa Usalama barabarani aliyeingia na kukagua ndani...
Pole sana!
Tinnitus haina tiba kamili ila ukienda Muhimbili kumuona ENT Specialist anweza kukufanyia tathmini kamili na kukushauri kutumia electronic device to supress noice..
Kilichokutokea ni sehemu ya sikio inayochuja sauti na kupeleka kwenye ubongo kwa ajili ya utambuzi.
Vifaa vya kusaidia...
Alifunga ndoa kwa Shehe au Mchangaji yupi? Kama ni ndoa ya kiserikali Wilaya ipi? Lini? Mume wake anaitwa nani? Siku ya kutoa mahari nani alikuwepo?
Post picha akiwa na ujauzito, akiwa cliniki, akivaa deraa. Hospital/kituo cha afya ipi alienda kujifungua?
Huyu ni mwanaume mwenye genes za kike...
Three paradox
1. Kama huyu ni me kweli mwenye matiti basi alimzalisha yule mwanamke aliyefunga naye ndoa.
Wenyeji wa Geita, huyu mwanaume alienda cliniki? Please leteni nakala ya cheti cha cliniki tuthibitishe haya. She could be the biological dad and the biological mom ni yule mdogo wa...
Wadau Assalaam alaikum,
Tumsifu Yesu Kristu
Nipo njiani natokea Ntwara kuelekea mji mkuu Dodoma.
Nina maboss wanahitaji hotel nzuri iliotulia jijini Dodoma.
Mwenye kufahamu hotel nzuri yenye rates za kuanzia 35, 40, 50, 60, hadi 120,000
Sababu kuu
Nina timu kubwa yenye rates tofauti kuanzia 30...
Pole mkuu.
Mimi nimesoma undergraduate hapa Tz na Post Graduates Ulaya, USA nk.
TCU inajitutumuwa kuwa inasimamia ubora wa Vyuo lakini ukiwauliza kuanzia software hadi hardware zote zimetoka Ulaya au China. PhD zimejaa TCU lakini zote waligoogle madesa ya Wazungu, siku Google wakiamua...
15 years in jail ili kuwazuga watu then atakata rufaa na kupewa ushindi then anachiwa huru. Haya ni maelekezo kutoka kwa mama, siyo mahakama. Mark my words.
Unahitaji leseni ya biashara,
Ukifika Wilaya/Halmashauri unayonunulia nafaka waone maafisa wa kilimo watakupa utaratibu, kuna leseni pia.
Getini utalipia tzs 1,000 hadi 2,000 kwa kila gunia kama tozo ya Halmashauri.
Wakuu, miaka 6 hadi 5 familia yangu enzi za uhai wa mzazi wetu tulikuwa na biashara Mkoani Mtwara, mtaji ulikuwa annual turnover around 0.78 billion. Baadaye tuligawagana mirathi na kila mmoja anawaza biashara zake.
Binafsi ninapenda kuwekeza kwenye kilimo cha miti ya mbao maeneo haya;
1...
IGP ataita press na kusema polisi walikuwa wakimkimbiza kijana mkorofi kama Hamza, hivyo ni tukio la bahati mbaya.
Lahaullah ingekuwa driver wa daladala kauwa watu kwenye kivuko cha pundamlia/zebra press ingeitwa na kuwaita madereva wote wahuni
Aigipii aliporopoka kuwa wazazi wasizae watoto watukutu kama Hamza, yeye alizaa wenye hekima? Wazazi wa Hamza lazima wamlaani, nasisi tunamuombea dua mbaya mpaka kizazl chake cha 4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.