Siyo wote lakini kuna wanaoandika vizuri. Nadhani sababu ni haraka waliyonayo.Wakuu,
Umofia kwenu.
Kwanini Madaktari wana miandiko mibaya isioweza kusomeka vizuri?
1. Je wanafundishwa chuoni?
2. Wanakuwa na haraka ili kuwahi wagonjwa?
Madaktari karibuni
Tatizo limeanzia utotoni,wengi wao walikuwa wachafu Sana walipokuwa watotoWakuu,
Umofia kwenu.
Kwanini Madaktari wana miandiko mibaya isioweza kusomeka vizuri?
1. Je wanafundishwa chuoni?
2. Wanakuwa na haraka ili kuwahi wagonjwa?
Madaktari karibuni
Wengi miandiko inakuwa hivyo baada ya kuanza kazi. Mambo ya kuandika ni mengi na wagonjwa wengi pia, hivyo kurembesha kunapotea.Wakuu,
Umofia kwenu.
Kwanini Madaktari wana miandiko mibaya isioweza kusomeka vizuri?
1. Je wanafundishwa chuoni?
2. Wanakuwa na haraka ili kuwahi wagonjwa?
Madaktari karibuni
... miongoni mwa courses za madaktari ni pathology ambapo maiti zinahusika sana. Hii inawaathiri kisaikolojia hadi miandiko yao.Wakuu,
Umofia kwenu.
Kwanini Madaktari wana miandiko mibaya isioweza kusomeka vizuri?
1. Je wanafundishwa chuoni?
2. Wanakuwa na haraka ili kuwahi wagonjwa?
Madaktari karibuni