Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Wadau Assalaam alaikum,
Tumsifu Yesu Kristu
Nipo njiani natokea Ntwara kuelekea mji mkuu Dodoma.
Nina maboss wanahitaji hotel nzuri iliotulia jijini Dodoma.
Mwenye kufahamu hotel nzuri yenye rates za kuanzia 35, 40, 50, 60, hadi 120,000
Sababu kuu
Nina timu kubwa yenye rates tofauti kuanzia 30 hadi 120k na wanataka kufikia hotel moja tu, ili kuongeza ufanisi na mawasiliano wakati wa kutoka kwenda field.
Tumsifu Yesu Kristu
Nipo njiani natokea Ntwara kuelekea mji mkuu Dodoma.
Nina maboss wanahitaji hotel nzuri iliotulia jijini Dodoma.
Mwenye kufahamu hotel nzuri yenye rates za kuanzia 35, 40, 50, 60, hadi 120,000
Sababu kuu
Nina timu kubwa yenye rates tofauti kuanzia 30 hadi 120k na wanataka kufikia hotel moja tu, ili kuongeza ufanisi na mawasiliano wakati wa kutoka kwenda field.