Gharama sana ndiyo kiasi gani?Kwa maelezo ya daktari alinambia zipo ila no gharama mnoo hivo sikufatilia
Limenikuta gafla ukubwani mwaka 2015 nikiwa chuoniPole kaka yangu....
Me nataka kujua ni tatizo la kuzaliwa au limekuja ukubwani??
Ngoja nifatilie mkuu tutajuzanaGharama sana ndiyo kiasi gani?
Inawezekana zikawa gharama Tanzania lakini wengine wakawa na njia rahisi ya kuzipata nje.
Fuatilia utupe mrejesho. Zinahitajika za aina gani, za specification gani.
Shukran sana mkuuDaah pole sana Mkuu...
Pole sana!Habari zenu wana jamvi natumaini wote ni wazima.
Bila kupoteza muda Niende kwenye mada kuu...Ni wazi kabisa kwamba Mimi nasumbuliwa na changamoto ya usikivu (tinnitus) "hali ya kusikia sauti mfano wa honi au kengele ndani ya sikio hali inayopolekea sauti kuingiliana na kushindiwa kuelewa kilichoongelewa na mtu anaekuongelesha kwa wakati huo hadi arudie tena na uconcetrate kwake kwa kuupuuzia sauti za ndani ya sikio".
Changamoto hii inaniepeleka Mimi kukosa Ajira sehem mbali mbali nikiomba kazi nikifika hatua ya usaili wa mahojiano nimekuwa nikiingia na presha kubwa mno hali inayopolekea kufeli interview wakishajua kama Nina shida hiyo wakati mwingine huwa naanza kwa kuwaeleza shida yangu ili wanifanye kama mtu mwenye uhitaji maalumu ili hata nisipoelewa swali waweze kurudia nilielewe lakini bado ni changamoto
Mwaka 2021 nilibahatika kupata kazi kiwanda kimoja kama DATA CLERK lakini mwaka huu nikakataliwa kurejea kazini licha ya kwamba tatizo langu linafahamika ofisi ya waajiri na OSHA lakini daktari mkuu wa kiwanda amenigomea kurudi kazini kusaini mkataba maana kazi ni ya msimu na kila mwaka mnaporejea lazima mfanye vipimo ndo muungie kazini miaka yote hiyo nimekuwa nikipita hatua zote na kupelekea kupangiwa eneo zuri kulingana na hali yangu.
Ni Rasmi sasa nimekuwa baba wa nyumbani sina pa kwenda kila kona ni majaribu nafsi yangu inaumia nikiamka asubuh nikiona wenzangu waliokuwa wananipitia kwenda kazi sasa wanakwenda peke yao Mimi nikiwa nimebaki nyumbani.
Ndugu zangu nirejee tena kwenu kwa mtu yoyote humu mahala popote mwenye connection ya kazi aina yoyote ile basi tusaidieane asihofie hali yangu kwa kuwa sio ya kutisha ni tinnitus tu ndo inayonitesa binafsi Nina Diploma ya ukutubi na uhifadhi wa nyataka (Ordinary Diploma in Library, records and information studies) Nina uzoefu mzuri na wa muda mrefu mbali na kazi kuhusu fani yangu nimehudumu kama Quality Control QC, office attendant, warehouse attendant, Leaf Account Clerk and Greenleaf Data Clerk katika viwanda tofauti tofauti(TTPL,21st century textile LTD,Allionce one international) tangu 2015.
Mbali na hapo kazi yoyote ile halali nafanya naomba msaada wenu wapendwa..Asanteeni na Mungu awabariki
Mwinuka Frank D.
Morogoro
Chamwino-Shule street
House no 060
Simu:0654204670
0744204670
Email.Frankdmwinuka@gmail.com
Navojua kwa hearing aids nzuri za kumfaa pamoja na kumpunguzia kelele za tinnitus gharama zake ni si chini ya dola 5000/=.Gharama sana ndiyo kiasi gani?
Inawezekana zikawa gharama Tanzania lakini wengine wakawa na njia rahisi ya kuzipata nje.
Fuatilia utupe mrejesho. Zinahitajika za aina gani, za specification gani.
Ngoja tufatilie mkuuPole sana!
Tinnitus haina tiba kamili ila ukienda Muhimbili kumuona ENT Specialist anweza kukufanyia tathmini kamili na kukushauri kutumia electronic device to supress noice..
Kilichokutokea ni sehemu ya sikio inayochuja sauti na kupeleka kwenye ubongo kwa ajili ya utambuzi.
Vifaa vya kusaidia kuchuja sauti vipo.
All the best na Mungu akupe wepesi.
Hii ni zaidi ya milioni 10 za kibongo! Duu!Navojua kwa hearing aids nzuri za kumfaa pamoja na kumpunguzia kelele za tinnitus gharama zake ni si chini ya dola 5000/=.
Samahan ndugu naweza pata nafasi ya kuja DMPole sana ndugu mm ni social worker najisikia vibaya mtu kubaguliwa kwa namna yyte ile. Nakushauri uende kwa afisa ustawi sehemu ulipo akuandikie barua ili unapoenda kwenye interview uingie nayo.
Upata kibarua ukumbuke kununua zile equipments za kuinua sauti sizijui zinaitwaje
Njoo tu mkuu hakuna shida boss
Soma elimu maalum kaka ujue lugha ya alama nduguHabari zenu wana jamvi natumaini wote ni wazima.
Bila kupoteza muda Niende kwenye mada kuu...Ni wazi kabisa kwamba Mimi nasumbuliwa na changamoto ya usikivu (tinnitus) "hali ya kusikia sauti mfano wa honi au kengele ndani ya sikio hali inayopolekea sauti kuingiliana na kushindiwa kuelewa kilichoongelewa na mtu anaekuongelesha kwa wakati huo hadi arudie tena na uconcetrate kwake kwa kuupuuzia sauti za ndani ya sikio".
Changamoto hii inaniepeleka Mimi kukosa Ajira sehem mbali mbali nikiomba kazi nikifika hatua ya usaili wa mahojiano nimekuwa nikiingia na presha kubwa mno hali inayopolekea kufeli interview wakishajua kama Nina shida hiyo wakati mwingine huwa naanza kwa kuwaeleza shida yangu ili wanifanye kama mtu mwenye uhitaji maalumu ili hata nisipoelewa swali waweze kurudia nilielewe lakini bado ni changamoto
Mwaka 2021 nilibahatika kupata kazi kiwanda kimoja kama DATA CLERK lakini mwaka huu nikakataliwa kurejea kazini licha ya kwamba tatizo langu linafahamika ofisi ya waajiri na OSHA lakini daktari mkuu wa kiwanda amenigomea kurudi kazini kusaini mkataba maana kazi ni ya msimu na kila mwaka mnaporejea lazima mfanye vipimo ndo muungie kazini miaka yote hiyo nimekuwa nikipita hatua zote na kupelekea kupangiwa eneo zuri kulingana na hali yangu.
Ni Rasmi sasa nimekuwa baba wa nyumbani sina pa kwenda kila kona ni majaribu nafsi yangu inaumia nikiamka asubuh nikiona wenzangu waliokuwa wananipitia kwenda kazi sasa wanakwenda peke yao Mimi nikiwa nimebaki nyumbani.
Ndugu zangu nirejee tena kwenu kwa mtu yoyote humu mahala popote mwenye connection ya kazi aina yoyote ile basi tusaidieane asihofie hali yangu kwa kuwa sio ya kutisha ni tinnitus tu ndo inayonitesa binafsi Nina Diploma ya ukutubi na uhifadhi wa nyataka (Ordinary Diploma in Library, records and information studies) Nina uzoefu mzuri na wa muda mrefu mbali na kazi kuhusu fani yangu nimehudumu kama Quality Control QC, office attendant, warehouse attendant, Leaf Account Clerk and Greenleaf Data Clerk katika viwanda tofauti tofauti(TTPL,21st century textile LTD,Allionce one international) tangu 2015.
Mbali na hapo kazi yoyote ile halali nafanya naomba msaada wenu wapendwa..Asanteeni na Mungu awabariki
Mwinuka Frank D.
Morogoro
Chamwino-Shule street
House no 060
Simu:0654204670
0744204670
Email.Frankdmwinuka@gmail.com
Mimi mwenyewe nina hilo tatizo japo niko kada ya elimu.Pole sana ndugu yangu! na mimi nina tatizo la kusikia na kuongea vizuri!
Nilisomea Certificate ya IT 2007-2008(UCC), Diploma ya IT 2008-2010(UCC) na Shahada ya Sayansi ya Kompyuta 2014(IAA). Tangu nimalize chuo nilianza kuomba kazi na kufanya usaili mbalimbali kuanzia mwaka 2015. Na Mwaka 2017 TRA walitoa nafasi za kazi katika kada mbalimbali, nilibahatika kupita kwenye usaili wa mchujo, vitendo hadi mahojiano (TRA) . Kabla ya usaili wa mahojiano nilikuwa nimeshawapa taarifa kwamna Nina matatizo ya kusikia vizuri na uongeaji, hivyo katika kufanyia mahojiano nakumbuka yalikuwa maswali Saba na baadhi ya vipengele vyake, swali la kwanza niliongea kwa mdomo ambayo ilikuwa inaongelea kuhusu background ya elimu. Baada ya hapo wakanipeleka chunba maalumu nifanye maswali kwa kuandika. Baada ya kumaliza wakaniliuza unafbaya kazi wapi nikawaambia sina kazi, na japo la waliokuwa wananihoji walikuwa wababa wawili na wamama wawili.
Pamoja na hayo yote sikuweza kuitwa kazini. Na walikuwa wanahitaji watu wanne kati ya wasailiwa 28. Na kwenye vitendo tulikuwa 80, na mchujo wa kuandika walikuwa karibia 400 nchi nzima kwa kada ya System Administrator.
Nakumbuka mama mmoja alionea huruma sana. Na huyo mama alishaaga dunia mwaka jana akiwa kwenye mwajiriwa wa sekretariat ya ajira.
Ndio hivyo watu wenye shida ya kusikia wanapata shida hawathaminiwi
Mungu atusaidie sana
Nakuona mzee babaMimi mwenyewe nina hilo tatizo japo niko kada ya elimu.
Ni nini ulifanya mpaka tatizo liwe linaenda linapungua ? Au kuna lifestyle ulibadili kama diet nkBut trust me my friend, with time tatizo linapungua. Now mtu hawezi jua kama nina tatizo labda akikaa na mimi kwa muda mrefu sana.
Zamani ilikua hatuelewani na mtu kabisa, but now miaka inavozidi kwenda hali inazidi kuwa better.
Ni nini ulifanya mpaka tatizo liwe linaenda linapungua ? Au kuna lifestyle ulibadili kama diet nk
Mkuu, upo sahihi kabisa. Mimi baada ya kukutana na shida hiyo, ndugu walimshauri mzee tuje dar, hospital inaitwa EKENYWA, ENT akanisafisha masikio, then wakaniambia nirudi alhamis nionane na audiologist kwa ajili ya kupima usikivu, siku hiyo nikarudi wakanipima, then nikarudi tena kwa ENT, akasema hapo tujaribu hearing aids. Nikapewa namba ya muhusika.hazina msaada kabisa naona ni kama biashara za madaktari wa ENT na hospitali za masikio.
Pole sana mkuuMkuu, upo sahihi kabisa. Mimi baada ya kukutana na shida hiyo, ndugu walimshauri mzee tuje dar, hospital inaitwa EKENYWA, ENT akanisafisha masikio, then wakaniambia nirudi alhamis nionane na audiologist kwa ajili ya kupima usikivu, siku hiyo nikarudi wakanipima, then nikarudi tena kwa ENT, akasema hapo tujaribu hearing aids. Nikapewa namba ya muhusika.
Kuja kumtafuta muhusika, katuambia tumfuate Mlongazila Hospital, kufika kule ni jamaa wa audiology alinipima Ekenywa, akasoma tena ripoti yake, akaanza kuniandikia bei za hearing aid zitakazofaa, akasema kwa level yangu itakayofaa ni ya 1.4M za kitanzania, sawa tukamwomba jina la pharmacy au duka la vifaa tiba, jamaa aligoma kabisa kutupa jina na location. Akisema pesa tumpe yeye halafu atatuletea. Najua tulipigwa parefu tu, na hearing aid ndo hivyo tena.