Tatizo hilo si kwa wanaokosea tu,nilituma pesa kwa mtu msg akaipata lakini pesa haikuingia,akawapigia tigo wakamwambia imerudishwa kwa aliyeituma.
Nimewapigia simu wananiambia itarudishwa kwangu,nimesubiri mpaka Nimechoka nikaenda kwenye ofc zao wakadai wamerudisha zitaingia baada ya 24...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.