Recent content by Ennie

  1. Ennie

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Zinavutia wanaojua thamani yake
  2. Ennie

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Bidii itakufikisha kwenye ndoto zako
  3. Ennie

    Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

    Kwa sababu wewe hazikusumbui haina maana hakuna zinayemsumbua. Hata vivazi vya wadada kuna ambao havitusumbui kabisa.
  4. Ennie

    Hasheem Thabeet yu wapi!?

    Amevuna alichopanda
  5. Ennie

    Kuna wadada wa kazi ni wachawi na mawakala wa nguvu za giza

    Dah! Unaweza usitafute msichana wa kazi tena!! Mungu atusaidie tu. Hizo sshuhuda zinatisha kwa kweli
  6. Ennie

    Under NACTE mbona hatuthaminiki

    Umepata approval ya chuo?
  7. Ennie

    Mambo yashaanza kunoga NACTE!

    Mdogo wangu nae ameandikiwa asubiri confirmation ya chuo,itatolewa na majina ya batch ya pili kutoka chuo yeye atajuaje confirmed?
  8. Ennie

    Najuta kuwa Admin wa group

    Na wewe ni mwanaume?
  9. Ennie

    Tigopesa ni kwanini mnatunyanyasa hivyo?

    Tatizo hilo si kwa wanaokosea tu,nilituma pesa kwa mtu msg akaipata lakini pesa haikuingia,akawapigia tigo wakamwambia imerudishwa kwa aliyeituma. Nimewapigia simu wananiambia itarudishwa kwangu,nimesubiri mpaka Nimechoka nikaenda kwenye ofc zao wakadai wamerudisha zitaingia baada ya 24...
  10. Ennie

    Hizi tabia zikome huku MMU haraka

    Watakuwa wamekoma!!!!
Back
Top Bottom