Mambo yashaanza kunoga NACTE!

Mambo yashaanza kunoga NACTE!

ningekuwa sikujui ningebabaika ila kwakuwa wewe ni kikoozi hata sishangai
 
Mm bado ipo vile vile ijabadilika tofauti na capacity kwenye baadhi ya selection zangu kuwa zero??ss cjui ndio inamaanisha nn kwa hawa jamaa

Inamaanisha ukatafute kazi za kufanya hauna nafasi katika mambo ya shule
 
Safari ya Udom inanukia

Wow..... sijui hata kwa nini nimefurahi....ila nahisi ni kwa sababu nyota yako iliyong'aara awal na kufunikwa na wingu zito hata isieleweke ipo upande upi...hatimaye leo ina shine upya...
nataman iwe hivyo..mafanikio mrma kaka
 
hawa jamaa waliniweka roho juu sana ila kwasasa ni afadhali
 
mimi ni kupitia TCU nimepangwa UDOM tele 1st round,hivyo kwa ambaye atapangwa tele sio mbaya tukiwasiliana 0718163254.naishi ukonga
 
  • Thanks
Reactions: V2d

Attachments

  • 1444375509250.jpg
    1444375509250.jpg
    22.5 KB · Views: 525
Wale walioomba nacte fungueni profile zenu sasa hivi,washaanza kuthibitisha selection kwenye profile,mimi ni mmoja wao, wameniadikia hivi

SELECTED

Please be informed that you have been provisionally selected to join below Programme in said Institution/College pending to the confirmation of the Institution/College.
Unajulishwa kwamba umechaguliwa kujiunga na kozi/program na Chuo kama ilivyo ainishwa hapo chini. Hii itategemea uthibitisho kutoka Chuoni.

MUNGU YUPAMOJA NASI,NAAMINI WOTE TUTACHAGULIWA
mungu awe nanyi nacte bila kusahau sisi tcu
 
Namshukuru mungu mm pia nmekuaselected ila tu nawait hyo confmtin
 
Namshukuru mungu mm pia nmekuaselected ila tu nawait hyo confmtin

Mdogo wangu nae ameandikiwa asubiri confirmation ya chuo,itatolewa na majina ya batch ya pili kutoka chuo yeye atajuaje confirmed?
 
Mambo vp wadau???nacte ndio wamemaliza..wale ambao hawajawa selected inakuwaje????
 
Back
Top Bottom