Recent content by engehangi

  1. engehangi

    Natafuta fundi wa Pajero Min, Arusha

    Mkuu ninayo gari kama yako with the same problem...msaada gearbox umepata wapi mana nimetafuta sana
  2. engehangi

    Natafuta Duka la Spare orijino za Mitsubishi Pajero

    Ukipata nitag mkuu,mimi natafuta gearbox(auto)
  3. engehangi

    Naomba ushauri: Nina bahati ya kuitwa kwenye usaili ila sipati kazi

    Hii dhana ya kujuana na connections zinakosesha sana kazi vijana....nikitulia nitaleta uzi wangu but nakumbuka kuna uzi wako wakupata kazi nikacomment my dream ya kufanya kazi katika one of the international organization, now today am here bila connections yoyote
  4. engehangi

    Van Dame(Sinza), Yesu (Mbeya) kati ya Wababe waliowahi tikisa Tanzania

    Aissee huyu cool nine nimeishi nae mtaa mmoja alikua hatari saana huyu jamaa
  5. engehangi

    Wimbo wa mwisho wa Franco

    Mkuu kama una collection za Franco naomba aisee natafuta saana nyimbo zake ninazo chache saana
  6. engehangi

    Wanaotafuta kazi kwenye NGO eleweni hili

    .....aiseee naomba nikucheki pm mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. engehangi

    Wanaotafuta kazi kwenye NGO eleweni hili

    Kwenye local NGO kuna shida hatari but kama ulivyosema miradi mingi ya wamerekani wanachoangalia ni experience....nilishafanya kazi kwenye local NGO moja tuliofanya interview baada ya kupata kazi tukakutana na watu wengine ambao hata kwenye interview hatukuwa nao..... Sent using Jamii Forums...
  8. engehangi

    Sinema tosha mauaji ya bilionea Msuya

    Very interesting but touching too....pole kwa wafiwa......hadi kufikia hatua ya kuuana daaah
  9. engehangi

    The story of my interview failures and lessons learnt

    Nipo katika mradi fulani but nahisi huko southern ulipo ndio ndoto yangu ya siku nyingi
  10. engehangi

    The story of my interview failures and lessons learnt

    Hii elimu tosha vijana tujifunze kuwa na subira na kutokata tamaa
  11. engehangi

    What's the story: Ulipataje kazi unayofanya au uliyowahi kufanya?

    Wapo sana hawa....halafu ukipata wanavyojileta
  12. engehangi

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Bado ipo mkuu
  13. engehangi

    Naona Castle Lite wameshusha bei

    Nilishangaa saana nikajua ni promo ya kumalizia stock ..baadae nikaona bango kabisa kua sasa inapatikana kwa sh1500
Back
Top Bottom