The story of my interview failures and lessons learnt

The story of my interview failures and lessons learnt

Nimepiga interview 2 pale utumishi

1. hii ilikua haina written, ilikua ndio interview ya kwanza kufanya baada ya kutoka chuo 2016, nimefika pale watu wanakula kidesa kama wako wanaenda kupiga pepa, nimeingia sikushindwa swali hata moja katika maswali 10 niliyoulizwa nilikua najua yote NIKAKOSA nafasi, sikuumia

2. utumishi tena, nilianzia written, Maswali yalikua JIWE mtumishi nikaondoka na 55 nikaingia oral, cha ajabu maswali 90% yalirudiwa ya interview nilofanya kati ya 10 nilikosa 2(siyajui kabisa) , NIKAKOSA, hii NILIUMIA SANA

nikarudi kitaa.
Wala usiwaze mkuu! time will come utatoboa tu
 
me apa ndo nshakata tamaa nimeaplyy nyingii alafu hamna at moja niliyoitwa interview
ata kua tu short listed
Usikate tamaa.
Jitathmini. Hebu fanya review ya nguvu ya CV yako. Google 'how to write an eye catching CV'. Halafu jaribu kuifanyia mapinduzi CV yako kwa kufuata tips utakazozipata. Pia, mpe CV yako mtu mmoja wa karibu ambae labda ni HR au ana uzoefu mkubwa kwenye career yake na mwambie aingalie na akushauri aiweke vizuri na akushauri zaidi how to improve it.Pia, jitathmini jinsi unavyoandika barua zako za application za kazi. Google 'how to write eye catching application letter'. Ujue siku hizi elimu nyingi iko at the tip of our fingers, just a click or two clicks away!!
Pia, vijana wengi huwa wanakosea unakuta mtu ana CV moja kila kazi anayo apply anatuma tu hiyo hiyo!! That is very wrong, kila application unayotuma inabidi ui-tailor ur CV to suit the requirements za hiyo kazi unayoomba!! Ideally, uwe na soft copy ya 'back bone of ur CV, ambayo kila kazi unayotaka ku apply unai edit, na kuongezea nyama nyama kwa kadri za requirements, na job description ya hiyo kazi unayoomba!!
All the best mkuu, naamini ipo siku pia utafanikiwa!! sandraeli
 
Nimepiga interview 2 pale utumishi

1. hii ilikua haina written, ilikua ndio interview ya kwanza kufanya baada ya kutoka chuo 2016, nimefika pale watu wanakula kidesa kama wako wanaenda kupiga pepa, nimeingia sikushindwa swali hata moja katika maswali 10 niliyoulizwa nilikua najua yote NIKAKOSA nafasi, sikuumia

2. utumishi tena, nilianzia written, Maswali yalikua JIWE mtumishi nikaondoka na 55 nikaingia oral, cha ajabu maswali 90% yalirudiwa ya interview nilofanya kati ya 10 nilikosa 2(siyajui kabisa) , NIKAKOSA, hii NILIUMIA SANA

nikarudi kitaa.
Usikate mkuu endelea kupambana. Matukio kama hayo yakupe nguvu na kukutia moyo wa kupambana zaidi na zaidi, sio kukukatisha tamaa.
Myahudi Jr II
 
Usikate tamaa.
Jitathmini. Hebu fanya review ya nguvu ya CV yako. Google 'how to write an eye catching CV'. Halafu jaribu kuifanyia mapinduzi CV yako kwa kufuata tips utakazozipata. Pia, mpe CV yako mtu mmoja wa karibu ambae labda ni HR au ana uzoefu mkubwa kwenye career yake na mwambie aingalie na akushauri aiweke vizuri na akushauri zaidi how to improve it.Pia, jitathmini jinsi unavyoandika barua zako za application za kazi. Google 'how to write eye catching application letter'. Ujue siku hizi elimu nyingi iko at the tip of our fingers, just a click or two clicks away!!
Pia, vijana wengi huwa wanakosea unakuta mtu ana CV moja kila kazi anayo apply anatuma tu hiyo hiyo!! That is very wrong, kila application unayotuma inabidi ui-tailor ur CV to suit the requirements za hiyo kazi unayoomba!! Ideally, uwe na soft copy ya 'back bone of ur CV, ambayo kila kazi unayotaka ku apply unai edit, na kuongezea nyama nyama kwa kadri za requirements, na job description ya hiyo kazi unayoomba!!
All the best mkuu, naamini ipo siku pia utafanikiwa!! sandraeli
Nipo katika mradi fulani but nahisi huko southern ulipo ndio ndoto yangu ya siku nyingi
 
mimi bwana interview ambayo sitisahau ni nje ya nchi niliambiwa Your English is poor nikikumbuka hili nacheka saana.

halafu alivyo na tabia mbaya mbele za watu hahaha.

Cc Asprin Karucee
Hahahahahahhahaha!!
Pole mkuu, ila ungejibu, 'English is not my native language, i am still learning, and i am improving everyday!!
Sometimes majamaa yanayokua kwenye interview panels huwa yanazingua pia aisee!!!
Daby
 
Hahahahahahhahaha!!
Pole mkuu, ila ungejibu, 'English is not my native language, i am still learning, and i am improving everyday!!
Sometimes majamaa yanayokua kwenye interview panels huwa yanazingua pia aisee!!!
Daby
hahaha... aiseeh ilikuwa hamna kujitetea maana kazi ilitakiwa niijue lugha vizuri saana na zaidi. alikuwa mmama bhana.... unajua kuna zile story zikikujia kichwani mwako unajicheka basi ndiyo hii.
 
hahaha... aiseeh ilikuwa hamna kujitetea maana kazi ilitakiwa niijue lugha vizuri saana na zaidi. alikuwa mmama bhana.... unajua kuna zile story zikikujia kichwani mwako unajicheka basi ndiyo hii.
Hahahhahahahahahahahahaha
Hatari sana mkuu
 
mimi bwana interview ambayo sitisahau ni nje ya nchi niliambiwa Your English is poor nikikumbuka hili nacheka saana.

halafu alivyo na tabia mbaya mbele za watu hahaha.

Cc Asprin Karucee

Pole. But stay positive.

At least he didn't tell you you are dumb.
 
Usikate tamaa.
Jitathmini. Hebu fanya review ya nguvu ya CV yako. Google 'how to write an eye catching CV'. Halafu jaribu kuifanyia mapinduzi CV yako kwa kufuata tips utakazozipata. Pia, mpe CV yako mtu mmoja wa karibu ambae labda ni HR au ana uzoefu mkubwa kwenye career yake na mwambie aingalie na akushauri aiweke vizuri na akushauri zaidi how to improve it.Pia, jitathmini jinsi unavyoandika barua zako za application za kazi. Google 'how to write eye catching application letter'. Ujue siku hizi elimu nyingi iko at the tip of our fingers, just a click or two clicks away!!
Pia, vijana wengi huwa wanakosea unakuta mtu ana CV moja kila kazi anayo apply anatuma tu hiyo hiyo!! That is very wrong, kila application unayotuma inabidi ui-tailor ur CV to suit the requirements za hiyo kazi unayoomba!! Ideally, uwe na soft copy ya 'back bone of ur CV, ambayo kila kazi unayotaka ku apply unai edit, na kuongezea nyama nyama kwa kadri za requirements, na job description ya hiyo kazi unayoomba!!
All the best mkuu, naamini ipo siku pia utafanikiwa!! sandraeli
shukran mkuu ntafuata ushauri wako mzuri
 
Back
Top Bottom