Hazijapungua sasa!!!!. Mkwara haujasaidiaKupungua huku kwa bei hakuna uhusiano wowote na ule mkwara aliochimba yule hacker, kuwa washushe bei la sivyo.......?
Hazijapungua sasa!!!!. Mkwara haujasaidiaKupungua huku kwa bei hakuna uhusiano wowote na ule mkwara aliochimba yule hacker, kuwa washushe bei la sivyo.......?
Hii thread ya lini?Hazijapungua sasa!!!!. Mkwara haujasaidia
sio umekunywa zilizochujwa?Anyway mimi nakunya konyagi liteNaona Serengeti Lite kawafanya TBL washushe bei ya Castle Lite na kuwa buku mbili
February 2, 2018. Last weekHii thread ya lini?
Ile video ilitoka lini?February 2, 2018. Last week
I think 1st February....Ile video ilitoka lini?
Ndovu nazo 1500 sasa
500Tujuzane na bei ya ulanzi kwa kopo la lita moja wakuu
Kwetu Makete hiyo ni bei ya Debe la lita 20 mwezi wa nne
Nilishangaa saana nikajua ni promo ya kumalizia stock ..baadae nikaona bango kabisa kua sasa inapatikana kwa sh1500duh. Sikujua hili.
TBL is essentially liars to their customers....Nilishangaa saana nikajua ni promo ya kumalizia stock ..baadae nikaona bango kabisa kua sasa inapatikana kwa sh1500
Mbona hatari sasa!ZINAPUNGUZA UFANIS WA SEX KWA MWANAUME
pima ukimwi kuna associationMi zile serengeti light zilinishinda..nikinywa moja tu ya pili kichwa kinagonga balaa utadhani nagongwa makonzi na jini