Kwa hii habari hapa inaonyesha mkapa ndo Alikuwa starring mzuri...na anajua kuwa wote hao wawili JK na Richmond's ni watu wawili kama million 2...wanasemana ila pembeni ni jeshi la wa2 wawili....swali langu nani atasimama CCM 2015, na nani atakaye mdefend huyo mgombea,kama mkapa alivyokuwa...
Haka kademu kanaoneka kanashoboka na watu wa mbele...afu watu wenyewe Istanbul...akili nyingi kama watoto wa TMK...naaamini baharia alitanguliza kweli containers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.