Olympus Has Fallen VS White House Down

Olympus Has Fallen VS White House Down

Niliangalia WHITE HOUSE DOWN kwa mara ya kwanza pale MLIMANI CITY baada ya kupata sifa zake kutoka kwa wadau na kutokuwa na ujanja wa kuidownload, kwa ulevi wangu wa movie nikajitosa Mlimani City na kwakweli sikujutia kiingilio changu japo niligumia kidogo.
Nipo Marekani kwasasa na katika fukunyufukunyu zangu za Jamii Forums kila baada ya dakika chache nikakutana na huu uzi. Nilikuwa kwenye conference moja muhimu sana lakini huu uzi ulifanikiwa kuihamisha akili yangu na kuanza kuisakanya THE OLYMPUS HAS FALLEN.
Nikanikiwa kui-rent for 24hrs. E bwana hii kitu ni noma wadau.
Ila kinachonipa hofu kwa mwenendo wa hizi movie nahisi haya mambo yatakuja kutokea siku moja live, maana hawa jamaa (USA) wana vimikono kila sehemu ya Dunia, na vimikono vyao siyo vya heri.
Angalia movie nyingi ambazo kuna actors wenye asili ya Russia, utaona yale yale.
Pia nachukia hii hali ya makampuni ya filamu ya nchi nyingine kutokutengeneza filamu zinazo onyesha kuwa kuna action zimefanyika na kufanikiwa against US.
Movies nyingi zinaonyesha ushindi wa US dhidi ya kila kitu (japo naamini wanavyoendelea kujidanganya kuna siku isiyo na jina itakuja kula kwao)
 
Wadau,
Nataka ninunue dvd za hizo films, wapi hapa Dar (specific shop) naweza kuzipata ambazo ziko fresh, sio kama zile za wamachinga zinazogandaganda?
Nisaidieni jamani...
 
olympus has fallen bwana.. aah hii white house down sio kivilee..
 
hzi movie mbili nimezicheck ila binafsi hazijanishika sana nikiringanisha na series ya 24 jinsi white house under madam president ilivyovamiwa.. ile ilikuwa ni balaaaaaaaaaaaaaaaaa... hzi mbili naona za kawaida sana
 
kaka kama una line ya voda unajiunga na wajanja night sh 200 tu kuanzia saa 4 usiku kisha unapakua hayo makitu kiulani kabisa maana unaiacha inadownload unaenda zako kulala ukiamka asbh unakut mzigo tayari.Nimeshapakua nyingi sana tena zenye quality ya HD kwa dizaini hiyo


Lakini huo ni wizi ujue
 
M naona moja copy ya nyingine....same script,same storyline,same location......bt different waigizaji
 
kama umeanza kuiangalia Olympus has Fallen basi ukija kuiangalia white house down hautaifaidi....
Coz Olympus ni nyoko

Yap, nimeshaiangalia White House Down pia...ila Olympus has Fallen ni bonge la chezo,nimeikubali mbaya.White House Down nyuma!!
 
Jamie Foxx as the president is what ruined it for me, like atleast angekua some one a bit more interesting like Will Smith, or Washington if they really wanted a black president but Foxx! Nah Olympus FTW
 
WHD is a comedy... Olympus Has a serious realistic plot!

Nakubaliana na wewe, WHD kuna wakati unaona guys hawako serious esp wakati president anatekwa na jinsi yule jamaa alivyomuokoa inak uwa kama comedy vile, Olympus ndio mpango mzima.
 
The Olympus has fallen ni hatari sana tena saaana, acha kabisa wewe.
 
Olympus has fallen ni ishu nyingine. Real action, real actor in Butler and almost everything about it is just entertaining and fun!!
 
Olympus iko juu lakini WHD baadhi ya scene za yule mtoto ni kali sana kama pale yule mtoto anawave bendera juu ya white house isitunguliwe na ndege
 
Back
Top Bottom