Mwanaume mipango robo!!!!!

Mwanaume mipango robo!!!!!

ahaaaa dah jamani mji huu una mambo
 
Jamani tuache tamaaa, tutajatongozwa na majini...ohoooh
 
what next mtoto wa upanga? Sasa kwa taarifa yako jamaa alituma mizigo yake kwa container, na hiyo ilikuwa kukupima kama kweli unampenda.

Haka kademu kanaoneka kanashoboka na watu wa mbele...afu watu wenyewe Istanbul...akili nyingi kama watoto wa TMK...naaamini baharia alitanguliza kweli containers
 
Haka kademu kanaoneka kanashoboka na watu wa mbele...afu watu wenyewe Istanbul...akili nyingi kama watoto wa TMK...naaamini baharia alitanguliza kweli containers
hapana sahivi kawa teja ilala hana hata dala
 
you seem very materialistic in love! Love is not all about cars and iphones! watch out!
 
hapana sahivi kawa teja ilala hana hata dala

kweli ulitoka nae mbali jaman! mtafute basi umpe hata mara moja asukutue, alafu kwa saivi bado unaendelea kugawa kwa wenyepesa au umeanza biashara tofauti?
 
Simulizi mpaka ilipoishia sijaoa mu-nipokee wala mucongo-woman, imekuwaje?
 
Hana lolote huyu demu nilishawahi kumgonga mara kibao akanipaga hiyo stori ya msela turkey,sema demu mwenyewe anapenda masifa kua ni mzuri wakati hamna kitu wa kawaida sana...niliachana nae sababu ya vizinga vya kishamba shamba,marafik zake wanamjua sna kwa shobo shobo zake za kidwanzi ndo mana angongwa kijinga jinga,usiwazingue watu humu ndani m.amba wewe.
 
Haka kademu kanaoneka kanashoboka na watu wa mbele...afu watu wenyewe Istanbul...akili nyingi kama watoto wa TMK...naaamini baharia alitanguliza kweli containers
Umeona baharia; hawa viumbe wanashoboka na mbaya kama jitu linashuka na mibegi mikono yote!! wakati baharia katia timu na ki-hand beg midude mingine kwenye container, yanini kuwafanya transit na mibeg wabongo wenyewe wamejaa wizi kila kona. Huyu dada alibugi step mwenyewe!!
 
Hana lolote huyu demu nilishawahi kumgonga mara kibao akanipaga hiyo stori ya msela turkey,sema demu mwenyewe anapenda masifa kua ni mzuri wakati hamna kitu wa kawaida sana...niliachana nae sababu ya vizinga vya kishamba shamba,marafik zake wanamjua sna kwa shobo shobo zake za kidwanzi ndo mana angongwa kijinga jinga,usiwazingue watu humu ndani m.amba wewe.

atiiii nini!!!!????? Hahahaaa!!!!!!!!
 
Hana lolote huyu demu nilishawahi kumgonga mara kibao akanipaga hiyo stori ya msela turkey,sema demu mwenyewe anapenda masifa kua ni mzuri wakati hamna kitu wa kawaida sana...niliachana nae sababu ya vizinga vya kishamba shamba,marafik zake wanamjua sna kwa shobo shobo zake za kidwanzi ndo mana angongwa kijinga jinga,usiwazingue watu humu ndani m.amba wewe.

pole sana Zahra ni level nyingine kabisaaa.
Nimekutoa nishai pm ukaamua kuja kuandika madudu humu.
Watu kama wewe mi nawatuma kwa wanaume wa ukwee kuchukua mizigo kuniletea.
Just google my name i.
For your info nyie vijana wa turkey wabeba unga tu na bangi mnalipwa dola 5000.
Pole sana h ii level ya kina scuba au babu pakistan lakini c puya kama wewe mnayeishi geto watu 10.
Btn kuna dili la ksafirisha bangi from Arusha nitafute nikuunganishe.
Wallau ununue cheapest car in japan
 
Umeona baharia; hawa viumbe wanashoboka na mbaya kama jitu linashuka na mibegi mikono yote!! wakati baharia katia timu na ki-hand beg midude mingine kwenye container, yanini kuwafanya transit na mibeg wabongo wenyewe wamejaa wizi kila kona. Huyu dada alibugi step mwenyewe!!

mkitoka jela mlikokamatwa na unga mnarudigi na nin?
Eti container mavi yenu.
Sema mturkey gani aliyeshtsha container?
DHL inawashinda njaa tupu.
Bora mbaki huku tuwape madili
 
Hana lolote huyu demu nilishawahi kumgonga mara kibao akanipaga hiyo stori ya msela turkey,sema demu mwenyewe anapenda masifa kua ni mzuri wakati hamna kitu wa kawaida sana...niliachana nae sababu ya vizinga vya kishamba shamba,marafik zake wanamjua sna kwa shobo shobo zake za kidwanzi ndo mana angongwa kijinga jinga,usiwazingue watu humu ndani m.amba wewe.

Haya sasa, wapi mmamaa ya congo ukuje kujibu hii mambo?
 
Back
Top Bottom